umetoka lini kwani?!!!sasa kama wema sio habare ya mujini mbona umekuja kwa uzi wke, nenda kafungue uzi wa marry me na wewe tuone
sasa kama wema sio habare ya mujini mbona umekuja kwa uzi wke, nenda kafungue uzi wa marry me na wewe tuone
Mmmh, wewe ni me kweli??wema ana nyota kama warumi, hata nipotee vipi nikirudi lazima niwe juu kama kawa, warumi forever babeee, natamani kujioa
Unachoamini wew usituaminishe na sisiSafari hii inaweza ikawa ni bad timing kwa mwanamuziki mashuhuli Africa, diamond platinum, baada ya hivi karibuni kuachia video ya wimbo wake mpya huitwao Marry me aliomshirikisha mwanamuziki Ne-yo kutoka marekani. Video hiyo inasemekana kufanyiwa fitina ya coincidence na mwana dada mwenye mvuto na umaarufu wa aina yake nchini,
Wema sepetu ambapo scandal inayomkabili kwa sasa kuhusu utumiaji wa madawa ya kulevya kuvuta hisia kwa mashabiki zake na maadui zake, hali ambayo imefanya kila mmoja kuvutiwa na story ya mrembo hyo asiyekaukiwa na drama kuliko habari za msanii yeyote nchini kwa sasa (akiwemo diamond na zari). Wema kwa sasa amekuwa dhahabu kwa waandishi wa habari,
Kila mtu anataka kuandika habari zake, nadhani ujio wake mpya pamoja na uzinduzi wake wa app yake bila kusahau scandal ya utumiaji madawa ya kulevya, vinatajwa kumuweka msanii huyo kwenye level za juu zaidi kuliko msanii yeyote kwa sasa.
By warumi
Acha unoko..nilipita saa iyo huyo msanii akiwepo hakuna biashara iliyosimama.Jana Mond kasimamisha biashara zote k/koo (CHINA TOWER)Zamani mobil plza.
Duh na kwenye huu wimbo wake kuna ka kinanda katam sana.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] warumi bhanasasa kama wema sio habare ya mujini mbona umekuja kwa uzi wke, nenda kafungue uzi wa marry me na wewe tuone
[emoji23] [emoji23] nimecheka km mazuriiAcha unoko..nilipita saa iyo huyo msanii akiwepo hakuna biashara iliyosimama.
Sema nyie mawakala wa halotel kazi zenu za kusajili line ndo zilisimama.
Acha unoko..nilipita saa iyo huyo msanii akiwepo hakuna biashara iliyosimama.
Sema nyie mawakala wa halotel kazi zenu za kusajili line ndo zilisimama.
Haha noma sana...[emoji23] [emoji23] nimecheka km mazurii