Kama ndio huu aliosema umevuja hakika Diamond ni kiboko yao, huu wimbo una maadhi ya mchiriku lakini kaimba kwa aina yake!
Kijana huyu ni mbunifu sana kwakweli na wale walio kuwa wanataka maadhi ya kitanzania sasa wasikilize hiyo.
Hongera sana Diamond!
Kama ndio huu aliosema umevuja hakika Diamond ni kiboko yao, huu wimbo una maadhi ya mchiriku lakini kaimba kwa aina yake!
Kijana huyu ni mbunifu sana kwakweli na wale walio kuwa wanataka maadhi ya kitanzania sasa wasikilize hiyo.
Hongera sana Diamond!
Diamond ana nyota kali sana...Pia ana akili nyingi.
Kama ndio huu aliosema umevuja hakika Diamond ni kiboko yao, huu wimbo una maadhi ya mchiriku lakini kaimba kwa aina yake!
Kijana huyu ni mbunifu sana kwakweli na wale walio kuwa wanataka maadhi ya kitanzania sasa wasikilize hiyo.
Hongera sana Diamond!
Mmmh hapo kwenye red naona umezidisha mahaba
Tatizo lako unadhani kuwa na akili ni mtu kuwa Form6, Degree au masters, ndo mindset yako inavyokutuma.