Aquatic
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 716
- 269
DiamondPlatnumz kupitia acc yake inst amepost
"Moja ya nyimbo zangu ambazo ziko store hazija toka nimeikuta mtandaoni na sijui imefikaje, tena ikiwa kwenye mfumo wa Voicenote, yaani haina quality kabisaa... Tafadhari, kwa yoyote atakaeipata Asiitumie kwenye media ama hadhara, kwasababu Haijatoka na haiko Qualified.... ����". mwisho wa kunukuu
kuupata wimbo huo tembelea hulkshare na mitandao mingine..
"Moja ya nyimbo zangu ambazo ziko store hazija toka nimeikuta mtandaoni na sijui imefikaje, tena ikiwa kwenye mfumo wa Voicenote, yaani haina quality kabisaa... Tafadhari, kwa yoyote atakaeipata Asiitumie kwenye media ama hadhara, kwasababu Haijatoka na haiko Qualified.... ����". mwisho wa kunukuu
kuupata wimbo huo tembelea hulkshare na mitandao mingine..