mojoki
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 1,313
- 290
Najaribu kujiuliza hii nyimbo Mpoto anaongelea Malumbano ya kidini yaliyojitokeza hivi juzi kati, au nyie mmeelewaje wadau: Sehemu ya Mashairi ni pale anasema
"Waliopo hatuwataki, wanaotaka tuwape hatuwaamini
(Hapa nadhan anaongelea CCM na Chadema)
Hapa nadhan ni dongo la wale madogo hali iliyopelekea mmoja kukojolea msahafu...
Maneno siku zote yanauma na yanachefua ukielewa maana yake.
Kwa mfano neno la kitoto kumwambia mtoto tunasema watoto wanacheza
Neno la kitoto kumwambia mkubwa tunasema mtoto anakua
Mtoto akisema baba ile ndege yangu, baba hata kama hana biskeli umwambia ikitua ntakuletea. Lakini maneno ya kitoto mtu mzima kumwambia mtu mzima kunawalakini"...
Kiitikio cha Nyimbo kinasema
Chocheeni kuni moto uwake ugali uive mnachotaka kitokee
Halikeni mamruki, wakija wangojee, mikeka wawekee
Wanachotaka kitokee
Chochea X 8
"Waliopo hatuwataki, wanaotaka tuwape hatuwaamini
(Hapa nadhan anaongelea CCM na Chadema)
Hapa nadhan ni dongo la wale madogo hali iliyopelekea mmoja kukojolea msahafu...
Maneno siku zote yanauma na yanachefua ukielewa maana yake.
Kwa mfano neno la kitoto kumwambia mtoto tunasema watoto wanacheza
Neno la kitoto kumwambia mkubwa tunasema mtoto anakua
Mtoto akisema baba ile ndege yangu, baba hata kama hana biskeli umwambia ikitua ntakuletea. Lakini maneno ya kitoto mtu mzima kumwambia mtu mzima kunawalakini"...
Kiitikio cha Nyimbo kinasema
Chocheeni kuni moto uwake ugali uive mnachotaka kitokee
Halikeni mamruki, wakija wangojee, mikeka wawekee
Wanachotaka kitokee
Chochea X 8