johnsonmgaya
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 2,818
- 3,730
- Thread starter
- #21
hahahaha hawa mastaa wetu wanazingua kinoma... bibie Anasema alimtuma akalioshe watu mtaani kumuona mwamba na ndinga ka ug wakapiga picha wakaupload jamaa kuona akamaindi bila kuuliza ChanzoHeee aliondoka nalo akaenda nalo kitaa ama?ndio kosa dogo vile jamani
Basi ndio maana zamani dai alivaa sana vizurii,,siku hzi kawaida tu
Sent using Jamii Forums mobile app