Denis denny
JF-Expert Member
- Oct 7, 2012
- 5,780
- 7,844
Kadada kameimba vizuri nimekapenda bure yani sauti ya kumtoa mamba kwenye mtumbwi...Hakika nyimbo yake itaendelea kufanya vizuri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kumtisha wewe yani kwa vile wamemsaidia ndo akubali kuendelea kuburuzwa
More than point mkuu shukrani sana.... Kama ni muelewa atakuelewa tuu..me nimeelewa sana.....Unajua mkuu nimepitia maisha ya shida sana, moja vitu nilivyo pitia ni pamoja na kunyonywa sana au kupunjwa. Pamoja na yote nilikuwa mvumilivu sana, machozi yangu yalikuwa moyoni sio kwa uwazi kama dada Rubby anavyo fanya. Lakini leo nimejua faida ya kupitia yote hayo, leo nikisimama ni mwanaume hasa yote kwa sababu nilikuwa mvumilivu na bado ni mvumilivu. Darasa la saba nimekuja kwa Treni ya ng'ombe hapa mjini. Leo nakula ubaridi kwangu mpaka kwenye usafiri nakula hewa ya Japan sio mchezo. Yote kwa sababu ya uvumilivu. Uvumilivu ni silaha mpaka kwenye mapenzi.