sio kwamba nimeponda, ni wa kawaida tu yaani mzuri..ningesema haufai au mbaya hapo ndio ungesema nimeponda..Ila nawaheshimu sana wasanii kwa kazi zao...Tuko sawa ee
hahaha nikisema wa kawaida si kana kwamba nimeponda.. Pamoja sanaUmenibadilishia gia angani mkuu, ila nimekubali utetezi wako.
Tuko sawa.
Ameitunza sana sauti yake, bado ni kama ile ya miaka ya 2000 mwanzoni.Kajitahidi ni.mzuri ila vocally nahisi kuna kitu kinamiss sijui ni nini nahisi hauchangamki
Muziki ni zaidi ya mashairi.tunaojua muziki tunaukubali ule wimbo,Watu siku hizi wameishiwa ubunifu kilichibaki ni kuungaunga tu.Sitaki hata kuusikiliza kama kafanya kuungaunga.
Sauti yake tu.hautamani nyimbo hiisheSaida anaweza basi tu.
Hata kuunga kunahitaji ubunifu ndugu yangu. Huyu dada ni noma, kwa sauti na ubunifu mungu kamjalia.Watu siku hizi wameishiwa ubunifu kilichibaki ni kuungaunga tu.Sitaki hata kuusikiliza kama kafanya kuungaunga.
Kuunga unga nyimbo then ukapata wimbo wa maana ni kipaji pia ni....wasanii wachache sana wenye uwezo huo.Watu siku hizi wameishiwa ubunifu kilichibaki ni kuungaunga tu.Sitaki hata kuusikiliza kama kafanya kuungaunga.
Aiseeee ngoja nirud nchin kwangu watanikoma pale mtaan bila kuusahau wimbo wa ccm acha waisome namba dadek kuna mama mmokja wakat wa uchaguz aliluwa amaweka radio karib na dirisha languHuyu ndiye Saida Kalori ninayemjua msikilize then nipe komment chini....
Ruge alifanya yakeSaida anaweza basi tu.