Raimundo
JF-Expert Member
- May 23, 2009
- 13,416
- 12,618
sio kwamba nimeponda, ni wa kawaida tu yaani mzuri..ningesema haufai au mbaya hapo ndio ungesema nimeponda..Ila nawaheshimu sana wasanii kwa kazi zao...Tuko sawa ee
Umenibadilishia gia angani mkuu, ila nimekubali utetezi wako.
Tuko sawa.