Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu huyo ndio nan raja?"....na kusema kuwa harmonize amezidi kumuiga sana boss wake mpaka imekuwa kero kwani wanashindwa kutofautisha sauti za watu hao wawili"
HII ISHU INAMUUMIZA KICHWA HADI LEO RAJJ
Alitengeneza au alisample Beat ya Wimbo wa saida Kalori, SalomeHuyo jamaa ndio aliyetengeneza wimbo unayoongoza kwa mauzo East Africa, na ndio iliyoongoza kwa kutazamwa na watu wengi sana kule Youtube,wimbo Salome.
G nakoWakali wa chorus Bongo ni
1.Sir nature
2.Lady j dee
3.Q chilla
4.Belle 9
5.Ben pol
Harmonize mkuuMkuu huyo ndio nan raja?
Kijuso?harmonize mkali kuliko ray..acheni chuki kwa kuwa ana sarah mmasai?ila haimaanishi kuwa na list hiyo ya hits ndio ataendelea kuwa masikioni mwa watu, mwenzie yule ana nyimbo chache ila ni alama ya kipaji halisi na chenye ubunifu, kama ulikuwa humfatilii anza sasa
Akili zikikurudia,uje utuambie ulichokipunguza ktk vitu anavyovimiliki,sio "dislike" hazipunguzi pesa yake Bank.Hata mimi nimeenda kuongeza dislike
G Nako pia yupo vizur sana kwenye chorusWakali wa chorus Bongo ni
1.Sir nature
2.Lady j dee
3.Q chilla
4.Belle 9
5.Ben pol
'Bado'Aisee hata mie namkubali sana Harmonize
Aiyola
Matatizo
Show me
Niambie
Ni nyimbo kali saaana