NIMPENDENANI
JF-Expert Member
- Nov 2, 2014
- 6,114
- 5,391
mmmmmmh,okiiiiiiiiiiiiii....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msaga sumuHuo wimbo nani kauimba.!?
Hahaha hahaha, Wakati sisi tunakuza zetu nyie mlikuwa wapiii?Kwa masikitiko makubwa naomba wizara husika iliangalie hili kwa kuwa unatubagua. Hivi nini maana ya mashine? Inamaana ukiwa na kibamia siyo mwanaume. Juzi siku ya idd mosi nilitoka na demu wangu vizuri na anajua mi ninakibamia sasa wimbo huo ulipopigwa akainuka kucheza huku ananiimbia eti mwanaume mashine.
Niliamua kuondoka bila hata kumuaga aliniudhi sana.
Sasa wale wenye vibamie tuungane kupinga wimbo huu unatudhalilisha sana.
Upo Mkuu Mara nyingi unapingwa kweny harusi haswa za uswahiliniHahahaha huo wimbo sijausikia
U mean NIGGERS???usihofu kwasasababu huko marekani hao wenye mashine wameanza kupigwa risasi za moto na polisi.
[emoji1] [emoji1] [emoji1]![]()
Kweli dunia ni msongamano....
Naww unaupenda snUpo Mkuu Mara nyingi unapingwa kweny harusi haswa za uswahilini
[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] uuuwiiiiiiiiiiih!!!!!!!zinahisiwa wameficha bastola.
Sijawah kuupendaNaww unaupenda sn
Hehehehe...Sijawah kuupenda
huwa najickia aibu saana nikiuckia haswa nikiwa na watu hususan walionizid rika
Aibu aisee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hehehehe...
Unaogopa mashine
Ukiwa mwnyw unaucheza kbs kiuno feni[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]