Wimbo mwanaume mashine unatuzalilisha vibamia

Wimbo mwanaume mashine unatuzalilisha vibamia

Hakika vibamia tumedhalilika sana

Bamia
upload_2017-6-28_17-11-29.jpeg


Na Tango...

upload_2017-6-28_17-12-20.jpeg


Nani zaidi?

CC Jovitha
 
Bamia ndiyo habari ya mjini halichoshi laiiiniii unakula bila kutafuna linashuka tu, hata kulikatikata[emoji4] nirahisi unalipika kwa style yoyote, hahaa bamia raha sana asikwambie mtu, linatelezaaaa[emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] bamiaa wacha kbs
Haya nakutakia pishi jema
Chef+Lilian+Isaack+bamia+(2).jpg
 
Mlete huyo dada nimfundeeee! Akirudi ataanza kupenda vibamia!!!
 
Hahahaha huo wimbo sijausikia
Mi mwenyewe sijausikia mkuu

Kwani kasema mwanaume mashine kubwa??? Ndo mtoa mada angejishtukia

Manaake hata mashine za kusaga kuna zile za mtaani na kuna kubwa kama za bakhresa. Mashine za gari kuna za ist na kuna scania

Ili mradi una mashine ndugu mtoa mada hata kama ni kaescudo we furahi tu umeimbiwa.
 
Bamia ndiyo habari ya mjini halichoshi laiiiniii unakula bila kutafuna linashuka tu, hata kulikatikata[emoji4] nirahisi unalipika kwa style yoyote, hahaa bamia raha sana asikwambie mtu, linatelezaaaa[emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] bamiaa wacha kbs
Ahsante, nimeshawishika kukujengea kamansion maeneo kati ya Kibiti au Mkuranga, ni pm panapokuvutia fasta nianze ujenzi mapema iwezekanavyo
 
Ilo mbona jambo dogo namna hiyo, vibamia vyote vilivyojitokeza umeshindwa kuchagua kamoja kweli, aya basi ungenifata sirini jaribio lisingeshindikana
[emoji23] [emoji23] [emoji23] kwa nn iwe sirii, mbn wskati unayasema hayo hujafanya siri ila kwenye hili unataka jaribio
 
Back
Top Bottom