dyuteromaikota
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 5,929
- 8,327
Kwani basata kazi imewashinda? Nipo kwenye basi naskia wimbo wa singeli mtu anaimba et naheshimu madanga ya mke wangu!
Hivi wanetu watajifunza nini kwenye wimbo kama huu?
Hivi wanetu watajifunza nini kwenye wimbo kama huu?