BodGanleonid
JF-Expert Member
- Nov 14, 2022
- 3,021
- 4,330
ndo umesanuka leo? nyimbo ni ya muda tangu mwaka jana until now bado haijafungiwa?? Hujiulizi tu kwanini??Basata waufungie haraka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndo umesanuka leo? nyimbo ni ya muda tangu mwaka jana until now bado haijafungiwa?? Hujiulizi tu kwanini??Basata waufungie haraka
Nyimbo imetoka mwaka jana mpaka sasa haijafungiwa,, wala hilo hamtaki kujiuliza???Atakua hapajui kwa mpalange
Sanaa ya gani , imejaa matusi badala ya ubunifuSanaa iachwe kama ilivyo
Hao watoto nani aliwaambia waelimike? Hawajui kuna kuburudika pia?
Wimbo wa hovyo kabsa
Alafu Kuna sehemu anasema akimpata Mzungu ampeleke kwa mpalange.
Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
Halafu mwishoni anamalizia kwa jina la Baba na la mwana na la roho mtakatifu AminaWimbo wa hovyo kabsa
Alafu Kuna sehemu anasema akimpata Mzungu ampeleke kwa mpalange.
Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
Mi mumeo nimekuruhusu ukadangeeWimbo wa hovyo kabsa
Alafu Kuna sehemu anasema akimpata Mzungu ampeleke kwa mpalange.
Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
Hivi kwanini wabongo mnadhani simu au tv haziwezi kuwekea restrictions za vitu vya kutazamwa na watoto ?Wadundishe watoto kuchambua zuri na baya,huo wimbo hata usipopigwa redioni,watautautafuta mtandaoni,
Dunia ipo viganjani siku Hz,vitu vzr na vibaya vyote vinaparikana kwa urahisi
Msh*n*i kabisa yule mwimbajiHalafu mwishoni anamalizia kwa jina la Baba na la mwana na la roho mtakatifu Amina
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app