Enzi za zama za Mawe ulikuwepo? Zama za Mawe za Pili ndio ulitoka huo wimbo kipindi hicho ndio free satellite dish alikuwepo, yaan huyo satellite dish alipiga tukio kinyume na Sheria za Nchi na Serikali alikamatwa akawekwa lupango kwa hio watu wakaanzisha hashtag ya #freesatellitedish, km hukuwepo tulia hapo hapoNini sasa
Mwaka ganiEnzi za zama za Mawe ulikuwepo? Zama za Mawe za Pili ndio ulitoka huo wimbo kipindi hicho ni free satellite dish
Soma juu hapo nmeeleza kila kitu, tatizo vijana hampendi kujifunzaMwaka gani
Unazani inaeleweja basi!!!Soma juu hapo nmeeleza kila kitu, tatizo vijana hampendi kujifunza
TANESCO mnakataje umeme mida ya wanga hii mnataka waturoge vizuri?Unazani inaeleweja basi!!!
Ukiiangalia kwa mbali kama ipo kama king'amuzi cha bure ila ukiisogelea ipo kama hashtag ya kuomba mtu flani aachiliwe