mikatabafeki
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 12,771
- 4,649
kuweka kumbukumbu sawa,ni haohao basata waliwahi kumfungia shilole kutafanya mziki,lakini baada ya shilole kuwemo katika orodha ya watumbuizaji wa chama tawala wakati wa kampeni zuio lile liliyeyuka kwa namna isivyo eleweka.kutegemea basata kuja na jambo la kifanisi kwenye tasnia ya muziki wetu ni kupoteza wakati bureeeeeeHii haina maana.Wimbo ushasambaa mitandaoni
Ilipaswa wamfungie hata miaka miwili asifanye shoo njaa impige ndio atajifunza
Shame on you BASATA
Mtani nakuunga mkono nadhani BASATA awajitambui wanafanya nini wao panatakiwa pafumuliwe pale na napendekeza pawekwe watu wapya hao wapumzishwe tuSorry to say this but BASATA have some loads of stupidity if not negligence on them
Hiki kitengo ndio kilitakiwa kiratibu kazi zote za wasanii kabla hazijazalishwa! Uwezo huo upo sasa inakuwaje wanasuburi kazi itoke isambae kwenye jamii ilete madhara ndio wao waje na blah blah za kuifungia? Huku si kutengeneza mazingira ya rushwa?
Sorry again to say this but I can sniff some stupidity on them
Wewe nasikia pia umemzalia mtoto na niwakumi na saba katika watoto 23 wake pongezi matumizi anakupa auHa ha ha ha ha akalee wanae sasa make ana lundo la watoto lisilo na mama
Kwanini uandikie mate, nenda akupe mimba na wewe afu utajua matumizi anatoa au vepeWewe nasikia pia umemzalia mtoto na niwakumi na saba katika watoto 23 wake pongezi matumizi anakupa au
Kwa maana nyingine wamekuwa watu wa kusikilizia au kuusoma mchezo KwanzaSorry to say this but BASATA have some loads of stupidity if not negligence on them
Hiki kitengo ndio kilitakiwa kiratibu kazi zote za wasanii kabla hazijazalishwa! Uwezo huo upo sasa inakuwaje wanasuburi kazi itoke isambae kwenye jamii ilete madhara ndio wao waje na blah blah za kuifungia? Huku si kutengeneza mazingira ya rushwa?
Sorry again to say this but I can sniff some stupidity on them