Ndio hivyo Ses.Dah!π€ͺπ€ͺπ€ͺ
Nipo nmekumiss paka basiSijambo jirani. Hivi upo?
Nipo jirani. Jumapili nikazuga zuga kwenye ule uzi wa selfie nikijua unajitupia ukiwa church cha ajabu sikuona. πππNipo nmekumiss paka basi
Wazima ungeniita yani. Ulitupiapo kapicha?? Nkanze kufukunyuaNipo jirani. Jumapili nikazuga zuga kwenye ule uzi wa selfie nikijua unajitupia ukiwa church cha ajabu sikuona. [emoji23][emoji23][emoji23]
Uzi umeturahisishia sana ule. [emoji16]
Wazima wote huko?
Yaani nilikuwa nasubiria ya kwako jirani utupie ukiwa church kama siku ile. π€£π€£Wazima ungeniita yani. Ulitupiapo kapicha?? Nkanze kufukunyua
Yaani nilikuwa nasubiria ya kwako jirani utupie ukiwa church kama siku ile. [emoji1787][emoji1787]
Nimekuona na kibegi chako jirani. π π . Safi sana.Nmetupia leoo
Nimekuona na kibegi chako jirani. [emoji28][emoji28]. Safi sana.
Uwiii!! Na uzee huu jirani wacha niwe nawaangalia tu. ππHivi nmekuwa nikisubiri ujibu mapigo lakin kimyaa
Uwiii!! Na uzee huu jirani wacha niwe nawaangalia tu. ππ
Kule wanajirusha wadada wadada na wakaka wakaka sisi wazee tunasafisha macho tu jirani. π€£π€£π€£Sawa tuu
Kule wanajirusha wadada wadada na wakaka wakaka sisi wazee tunasafisha macho tu jirani. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Bob Marley - Running awayNyimbo hutunza historia mbalimbali;taja wimbo ambao ukiusikia unakukumbusha kitu flani.wangu ni;kuku kapanda baiskel wa mr nice,
MhengaYa Jean,,,,, madilu system
π π πHahahaha lakin jiran mjin hamna mzeee.... unakumbuka huu msemo