wimbo wa ALAJI

wimbo wa ALAJI

NGULI

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2008
Posts
4,801
Reaction score
643
Kwa wale wapenzi wa MUSIC watakuwa wameusikia huu wimbo ammbao unatamba sana hivi sasa. Nimependa sana mpangilio wa ngoma zinvyopigwa ila sifahamu kinachosemwa ni nini nachosikia ni neno alaji x 10. Kuna mwenye kuufahamu huu wimbo vizuri -unasema nini/una maana gani?Nasikia ni wa west Africa au central. Sina uhakika kama nimepatia spelling za jina la wimbo wenyewe.Najaribu kuuweka hapa ambao hawajisikia wausikie ila unafail.
 
Mi napenda kuucheza (niko fiti kwenye kukata mauno) Ila maana yake labda ngoja nim-PM Didier Drogba...
 
Mi napenda kuucheza (niko fiti kwenye kukata mauno) Ila maana yake labda ngoja nim-PM Didier Drogba...

Ha ha ha ha, kuna watu wana vipaji duniani huyo jamaa anayepiga ngoma respect!! si mchezo mazee watu wako fit
 
Huwezi amini nikiusikia sehemu lazima nisimame kuusikiliza, huu wimbo si mchezo.Wadai tupeni maana yake.
 
IT IS CALLED ALHAJI, ALHAJI, ALHAJI; By DJ Ramatoulaye

SEE COMMENTS FROM THE NET ABOUT ALHAJI SONG:

Stephan Hamidou Doukouré, aka Douk Saga, is a musician from the Ivory Coast.
Part of the group, La Jet Set, he is known to be the creator of the music genre that has taken Africa and the rest of the world by storm, called Coupé-Décalé and is affectionately called the President.
Coupe Decale means 'cut and shift'. It is a unique style using African percussions, deep bass among others. It expressed the pulse of the Ivorian society while giving an insight into the political situation of the country.

Alhaji, Alhaji, Alhaji.... they don't say much in the song but it is a big big hit in most parts in Africa if you love this Alhaji music, U must know how to https://jamii.app/JFUserGuide!!!!! I'm serious. Bcos, any girl wey sabi dance this Alhaji must dance the same style on BED.
 
Wimbo umehit sana hata mie naupenda lakini sijui kuucheza.:biggrin1:
 
IT IS CALLED ALHAJI, ALHAJI, ALHAJI;

SEE COMMENTS FROM THE NET ABOUT ALHAJI SONG:

Stephan Hamidou Doukouré, aka Douk Saga, is a musician from the Ivory Coast.
Part of the group, La Jet Set, he is known to be the creator of the music genre that has taken Africa and the rest of the world by storm, called Coupé-Décalé and is affectionately called the President.
Coupe Decale means 'cut and shift'. It is a unique style using African percussions, deep bass among others. It expressed the pulse of the Ivorian society while giving an insight into the political situation of the country.

Alhaji, Alhaji, Alhaji.... they don't say much in the song but it is a big big hit in most parts in Africa if you love this Alhaji music, U must know how to https://jamii.app/JFUserGuide!!!!! I'm serious. Bcos, any girl wey sabi dance this Alhaji must dance the same style on BED.


Ok... May be that is the reason behind serious booty shaking when the music louds...!! it sounds more of a night music to me!!
 
IT IS CALLED ALHAJI, ALHAJI, ALHAJI;

SEE COMMENTS FROM THE NET ABOUT ALHAJI SONG:

Stephan Hamidou Doukouré, aka Douk Saga, is a musician from the Ivory Coast.
Part of the group, La Jet Set, he is known to be the creator of the music genre that has taken Africa and the rest of the world by storm, called Coupé-Décalé and is affectionately called the President.
Coupe Decale means 'cut and shift'. It is a unique style using African percussions, deep bass among others. It expressed the pulse of the Ivorian society while giving an insight into the political situation of the country.

Alhaji, Alhaji, Alhaji.... they don't say much in the song but it is a big big hit in most parts in Africa if you love this Alhaji music, U must know how to https://jamii.app/JFUserGuide!!!!! I'm serious. Bcos, any girl wey sabi dance this Alhaji must dance the same style on BED.


Nikiangalia majibu ya chrispin, inaonyesha huu wimbo alikua anajua maana yake tangu mwanzo
 
IT IS CALLED ALHAJI, ALHAJI, ALHAJI;

SEE COMMENTS FROM THE NET ABOUT ALHAJI SONG:

Stephan Hamidou Doukouré, aka Douk Saga, is a musician from the Ivory Coast.
Part of the group, La Jet Set, he is known to be the creator of the music genre that has taken Africa and the rest of the world by storm, called Coupé-Décalé and is affectionately called the President.
Coupe Decale means 'cut and shift'. It is a unique style using African percussions, deep bass among others. It expressed the pulse of the Ivorian society while giving an insight into the political situation of the country.

Alhaji, Alhaji, Alhaji.... they don't say much in the song but it is a big big hit in most parts in Africa if you love this Alhaji music, U must know how to https://jamii.app/JFUserGuide!!!!! I'm serious. Bcos, any girl wey sabi dance this Alhaji must dance the same style on BED.

Kwa imani ya dini ya wenzetu maana yake ni mtu aliyeenda kuhiji sasa hapo kwenye red mh?
A%20S%20103.gif
 
heee ndugu yangu Jafar aisee!!
nimecheka vibaya khaaaa yani "you must know how to----"
kweli zile ngoma zinamvuto balaa,yani zinahamasisha kuucheza balaa
kwa sie waswahili
 
Huu wimbo kweli kwa sasa upo juu..na watu wengi wameuweka kwenye ringtones zao kama ule wa Mbagalaa!
kawaida ya wabantu tunapenda midundo( mpangilio wa vyombo) pasipo kujua kinachozungumzwa...Ila huu uwakute wale kibao kata wakupigie show ya alhaji unaweza pagawa kwa miuno!
 
Back
Top Bottom