Wimbo wa Ali Kiba "hela" vs Hamissa Mobetto "madam hero"

Wimbo wa Ali Kiba "hela" vs Hamissa Mobetto "madam hero"

lord atkin

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2018
Posts
205
Reaction score
769
Waungwana karibuni kwa maoni yenu. Ni matumaini yangu nyimbo zote mbili mmeshazisikia sasa ni wakati kutoa maoni yenu je ni wimbo upi umekubamba zaidi kati ya Hamissa Mobetto "madam hero" na wimbo wa "hela" wa msanii Ali kiba?
 
Aiseeee kama mie kiba nastaafu music khaa ndo kafikia level hiziii!!!!???
 
Waungwana karibuni kwa maoni yenu. Ni matumaini yangu nyimbo zote mbili mmeshazisikia sasa ni wakati kutoa maoni yenu je ni wimbo upi umekubamba zaidi kati ya Hamissa Mobetto "madam hero" na wimbo wa "hela" wa msanii Ali kiba?
Utakuwa huendi mbinguni sio kwa kumshusha hvyo king Kiba
 
ILA WIMBO ALIOIMBA SIO LEVEL YAKE KABISAAAAAA
 
Ali kiba huo wimbo kaurudia kwa kutumia beat tofauti. Wimbo ni wa zamani sana huo, alikuwa bado kutoa video ila ameleta video kwa beat tofauti mashairi yaleyale....kwahiyo siyo wimbo mpya
 
Mange kimambi alipitwa na video ya alikiba sababu ya kumsimanga dai kwa jumba jipya la baba makabila lenye thamani ya billion mbili. Sasa anabaki kuduwaa na kuwauliza watu kwa page yake.
Screenshot_20181004-150926.jpg
 
Waungwana karibuni kwa maoni yenu. Ni matumaini yangu nyimbo zote mbili mmeshazisikia sasa ni wakati kutoa maoni yenu je ni wimbo upi umekubamba zaidi kati ya Hamissa Mobetto "madam hero" na wimbo wa "hela" wa msanii Ali kiba?
Hili ni tusi
 
Watu wamemchoka Ali Kiba kama mashabiki wa Manchester United walivyomchoka Mourinho.
 
aisee!, bado kidogo ataanza kushindanishwa na nyimbo za singeli.
 
Back
Top Bottom