WIMBO WA DIAMOND WASHIKA NUMBER MOJA TRACE TV.... Huu ndio Ushahidi

Money Stunna

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2011
Posts
13,053
Reaction score
6,304
Diamond Platnumz hashikiki kwa sasa. Kwa mujibu wa Trace TV, My Number One Remix ft Davido, ndio wimbo namba moja kwa sasa barani Afrika.

Wimbo huo umekamata nafasi ya kwanza kwenye Top 10 ya chart ya kituo hicho cha runinga cha kimataifa. “Need i say More…???? My Prayers are slowly been answered… Trust me! we getting there… S/O to TRACE_inter for keeping that pace of promoting African Music Constant,” ameandika Diamond kwenye Instagram kuelezea furaha yake.
 
Last edited by a moderator:
Congratulations. ......Mungu amuongoze naye aongeze bidii
 
Nimeuona tangia majuzi unashikilia namba 1, akaze buti anaenda vizuri!
 
Bado bongo movies.......!

Ipo siku wema atakuwa best actress in africa...
 
thanks gwenivia... bongo movie nao wajipange, diamond katika bongo flavour kaweza, kwani ana nini?

Labda kanumba afufuke, maana yeye ndio alikuwa ana uwezo wa kuthubutu.
Ila hawa waliobakia ambao akili zao ziko kwenye starehe,sidhani. Halafu uzuri wa Mungu, kila sehemu anamuweka mtu mmoja wa mfano na pia awe kiongozi. Katika bongo flavor diamond kafanikiwa kuwa kiongozi,kule kwa majirani ambao ni bongo movie kiongozi alikuwa Kanumba na ndio tayari katangulia.

"Nlikuwepo":bolt:
 
Last edited by a moderator:

mkuu unataka kusema bongo movies imekufa? ray si ni hasimu wa kanumba? huoni kwamba atachukua nafasi ndani ya mwaka huu tu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…