Wimbo wa Harmonize wa Sandakalawe wazuiwa youtube, sababu wasema ni kuiuka hakimiliki za kampuni ya EMPIRE

Wimbo wa Harmonize wa Sandakalawe wazuiwa youtube, sababu wasema ni kuiuka hakimiliki za kampuni ya EMPIRE

Sijui tunaelekea wapi! Wanaojua hata hatuwapi time Ila hawa wenye maneno mawili nyimbo nzima ndio tunawapa time

Nyimbo mbaya, kuipenda mpaka uambiwe iskilize kwenye mziki mkubwa ama utaskia video ndio kali

Si konde wala kaka yake Simba now ni hovyo sana
Ma produza hawana jipya.
 
View attachment 1834399
Wimbo wa msanii nguli wa bongo flava Harmonize unaoitwa sandakalawe, umezuiwa youtube kutokana na kile kinachosemwa kuwa ni kukiuka hakimiliki za kampuni ya usambazaji mziki ya EMPIRE. Mpaka sasa haijajulikana ni kipengele kipi cha hakimiliki
Ahahaha angefungiwa Sadala hapa, ungeona team Kibakuli wanavyofukuzana hapa kutoka povu
 
Waangalie, hizi copyright issues zinaweza kuwatia umasikini. Atakuja mtu yuko serious atawalamba mpaka hela ya kununua kandambili
 
Kusema ukweli this time kwenye Kamata ya diamond siwezi mtetea

Kazingua sana
ningemuona mtu kama angeifanya kama audio iliyovuja

yani asiipe uofficial kbsa ila anavyoipromote ndio anazidi niboa,Nyimbo Mbaya.
Naona umekataa kuwa mnafki [emoji3][emoji3]
 
Kusema ukweli this time kwenye Kamata ya diamond siwezi mtetea

Kazingua sana ningemuona mtu kama angeifanya kama audio iliyovuja

yani asiipe uofficial kbsa ila anavyoipromote ndio anazidi niboa,Nyimbo Mbaya.
Yaani crew yote ya WCB walikaa wakashauriana wakaona ule ni wimbo wa kurelease officially kabisa! wamekwama pakubwa sana. WIMBO MBAYAAAAA!
 
Blogs na celebreties wanawapa promo sana hao watu 3. Lakini kuna madogo kama kina kayumba,rapcha,roza lee na wengine kibao wanatoa ngoma kali kinoma ila ndo ivo kuwaskia ni mpaka uwasakame chobi uko ndo unawapata.

Alikuwepo Aslay nae kapotelea jalala gani sijui huyu ndo kidoogo nae alikua anakamata kidgo mitandao. Saivi ni sadala,tembo kibonge na kipusa ndo wamehodhi mitandao.
Ngoma zenyewe mbovu mbovu tuu daah yani shida tupu.
 
Blogs na celebreties wanawapa promo sana hao watu 3. Lakini kuna madogo kama kina kayumba,rapcha,roza lee na wengine kibao wanatoa ngoma kali kinoma ila ndo ivo kuwaskia ni mpaka uwasakame chobi uko ndo unawapata.

Alikuwepo Aslay nae kapotelea jalala gani sijui huyu ndo kidoogo nae alikua anakamata kidgo mitandao. Saivi ni sadala,tembo kibonge na kipusa ndo wamehodhi mitandao.
Ngoma zenyewe mbovu mbovu tuu daah yani shida tupu.
Toa hapo hyo takataka rosalee
 
Hawa wasanii wakubwa ni kuambiwa ukweli tu wanapotoa nyimbo mbovu bila hivyo wataendelea wakijua zitaenda tu.
 
Back
Top Bottom