ngalelefijo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2012
- 3,966
- 2,596
Ndugu wadau,naomba kujua full squad,jina na mahali walipo wasanii walioimba wimbo wa alale pema kamanda.ule wimbo una elezea kwa ufasaha kifo na huzuni kubwa.nawasilisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sikiliza ngoma yao inayokwenda kwa jina la "Jahazi la Daz". Members wote wa Daz Nundaz wametajwa humo.
Tulikuwa wote jitegemee mimi nikiwa form one yeye akiwa form 3 Pomoja na kajalaMmoja wao ni teja yuko Mitaa ya Segerea TotoTundu, yule aliyeimba Namba 8. Pia mmoja alikuwa UDSM mpaka 2009 akichukua Digrii ya Kwanza.
daz baba ni kipaji kilichopotezwa na ngadaTulikuwa wote jitegemee mimi nikiwa form one yeye akiwa form 3 Pomoja na kajala
Yule binti alieimbwa "mwenye lips pana, akicheka ana mwanya" tulikuwa wote darasa Moja, jina lake ni Neila
Naila Magoti✓Tulikuwa wote jitegemee mimi nikiwa form one yeye akiwa form 3 Pomoja na kajala
Yule binti alieimbwa "mwenye lips pana, akicheka ana mwanya" tulikuwa wote darasa Moja, jina lake ni Neila
Naila Magoti✓
Neila×
Naila James na sio magotiNaila Magoti✓
Neila×
Alikuwa Mzuri ndioNaila alikuwa mrembo sana?