Shetani ni title a kuwakilisha kitu kibaya, either roho, mwilidam au mnyama, kwa iyo mwanamke atoae mimba, manabii wa uongo, wachawi wafuga majini yoyote kati yao hapo ukimuita shetani si mbaya, lucifer ni mmoja lakin **** sehemu utakuta limetumika kama wingi yani MASHETWANI, AU MASHETANI.
Mashetani yaweza kuwa kikundi cha watu au roho za giza, .mfano shetani na mama mkwe wake wana lia, walijua nitakufa bado na songa mbele,
**** wanawakwe wana logwa na mama wakwe zao ili ndoa yake ifwee lakin ukipata ulinzi wa YESU, asubuhi anakuona umeamka na unaenda kazini anahuzunika sana,
Jioni mwanamke huyo ukaenda ibada ya maombi, akaomba kama YESU ulifuguka kutoka kwa wafu, ulikishinda kifo hakika utanishindia na adui zangu uwachome kwa moto wa roho mtakatifu as above as below , huko kilingeni kwa mama mkwe hakuwezi kalika naona hata misumari inanafuu