Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
"Anataka nipite peku peku kunduchi" nimeishia hapo
Shenzy
Shenzy
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kunduchi si ndio kuna like tope?"Anataka nipite peku peku kunduchi" nimeishia hapo
Shenzy
Nimecheka aisee! Wanazingua sana hawa wanaojifanya waarabuHao si ndio wale wanao iga kila upuuzi kutoka Saudia! Ni haki yao kuwa na ifnferiority complex! Mara nyingi hupenda kujiona na wenyewe kama vile ni hao waarabu!
Wakifunga ndoa unakuta wamevaa kanzu na majambia kama waarabu!
Sasa unajiuliza yale mavisu yana kazi gani kwenye harusi!! Jibu haliji![emoji56]
Tafsiri zenu ndo zinaishia kuwaza hayo ,na bila Shaka wewe ni mshiriki mzur wa hzo mambo ...."Anataka nipite peku peku kunduchi" nimeishia hapo
Shenzy
Wewe kajamaa ni mtu mzimaTafsiri zenu ndo zinaishia kuwaza hayo ,na bila Shaka wewe ni mshiriki mzur wa hzo mambo ....
Sasa eti ndo anataka apite hukoKunduchi si ndio kuna like tope?
Mimi kama mmoja wa BASATA Nalifanyia kazi hiloUkiucheki ule wimbo unaonesha waafrica watumwa wa waarabu akiwemo mbosso mwenyewe n kunaishu za watumwa kuchapwa n.k
Kwa asiye na shule au upeo atasema sawa!
Kwan kuna shida gani.
Lakin ile ni
Psychological warfare
Inferiority complex
Surrender psychology
Vitu ambavyo n hatari katika taifa lolote kuvifundisha kwenye jamii yake au wananchi wake!!
Kwasababu vinadevalue race ya watu fulan na kuonekana kua race flan ndo iko juu kuliko nyingine!!
Vinaonesha ye anakubaliana na utumwa na anafundisha kizazi chake kua n watumwa and its fine with that!!!...
Misingi ya nchi kuendelea au taifa kuwa kubwa na lenye nguvu
- spirity ya superiority complex”
“Huwez shida vita au kumshinda adui yako kama unajiona we n dhaifu au si lolote”
Huu ndo ukweli!
Basata ingien kazini
[emoji23][emoji23][emoji23]Sasa eti ndo anataka apite huko
Hahahaha daaaah, Tate Mkuu naomba kuyafahamu makamo yako mkuu, inaonekana kuwa na element za kikoloni sana aiseeeh, Et majambia [emoji28][emoji28][emoji28]Hao si ndio wale wanao iga kila upuuzi kutoka Saudia! Ni haki yao kuwa na ifnferiority complex! Mara nyingi hupenda kujiona na wenyewe kama vile ni hao waarabu!
Wakifunga ndoa unakuta wamevaa kanzu na majambia kama waarabu!
Sasa unajiuliza yale mavisu yana kazi gani kwenye harusi!! Jibu haliji![emoji56]
Wewe ni kasomi wa sengerema Sekondari au?Mimi kama mmoja wa BASATA Nalifanyia kazi hilo
Hapana mkuu japo huko mimi mwenyejiWewe ni kasomi wa sengerema Sekondari au?
Yani amenikera Sana... Halafu huyu mbosso ni mshamba wa waarabu video zake lazima aweke waarabu kama video vixen