Wimbo wa Mbosso “Yalah “ ilifaa ufungiwe?

Nimecheka aisee! Wanazingua sana hawa wanaojifanya waarabu
 
Wajameni taratibu haya mambo, watu wamefiwa na Presidaa wao.
 
Tafsiri zenu ndo zinaishia kuwaza hayo ,na bila Shaka wewe ni mshiriki mzur wa hzo mambo ....
Wewe kajamaa ni mtu mzima
Lakini unakuwaga na mambo ya kitoto sana ...
Grow up
 
Mimi kama mmoja wa BASATA Nalifanyia kazi hilo
 
Hahahaha daaaah, Tate Mkuu naomba kuyafahamu makamo yako mkuu, inaonekana kuwa na element za kikoloni sana aiseeeh, Et majambia [emoji28][emoji28][emoji28]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…