Wimbo wa nasimama wa Jide

Wimbo wa nasimama wa Jide

Hhhhhaaa kwa hiyo arudie huyooo

Hiyo kesi naikumbuka vizur, tena niliingilia kati nikaahidi kuwasaidia hao jamaa waliodai wametapeliwa na jide, nika piga screen capture nikamtumia choka nakumbuka kipindi kile yupo kwa jide, mimi ndo niliyewasaidia wakalipwa kama walivyodai, maana wenyewe walikuwa hawajui chochote, sasa apa sijui analalamika nini
 
Mkuu karekebishe halafu rejea sie tupo....haswaa mie nipo nasubiri daku ....
 
Nasubir aandike vizur hyo michambo, maana mi naona warumi tu sijui kafanyaje

Hii kesi hata mimi naikumbuka...ila tatizo huu mwandiko kama wa vidudu....haieleweki anataka nini...
 
Wachaaa weee...mambo ya Dhul'hija hayooo....au daku la Wakubwaaa?

Lol apana la Dhul'hija ndugu yangu siunajua tena mambo yaku staghfiruu , inshallah mwenyezi mungu atuwezeshe tufungee kea salama na Touba zetu zipokelewe ya rabb...
 
Lol apana la Dhul'hija ndugu yangu siunajua tena mambo yaku staghfiruu , inshallah mwenyezi mungu atuwezeshe tufungee kea salama na Touba zetu zipokelewe ya rabb...

Inshaallah aamin...Jazaka llahu khayra....
 
Ama kweli duniani kuna watu wazuri wa kubisha au kusemea jambo wasilokuwa na uhakika nalo sijui wamezoea sijui kutaka sifa sijui waonekane nao wajuzi wa mambo ya mujini wanajua wao.
WARUMI kama wewe ni muungwana pamoja na wenzako naomba muombe radhi mana kama miezi kadhERaa nyuma kulitokea izi wenye kichwa cha HABAI....GADNER ANAPOKULA PESA ZA WATU WA JIDE...IMEJIELEZA vizuri sana ulisimama kaka weye kama wewe bdo uliyedhuumu na tukakuelezeasaa maazi waliyokuwa wamevaa ni meupe a mwisho kuna mambo kama ya happybithdayukakazaa hapana ni wimbo wa HISTORIA ukabeba bango..
HAYA sasa wimbo ulishatoka wahusika wameoekana hasa mwishoni hata soni huna umeuchuna tu.
Next time dont INTERFERE!

Kwa walioelewe ebu tufahamisheni na sie tuelewe maana nimetoka kapa!
 
Kwa walioelewe ebu tufahamisheni na sie tuelewe maana nimetoka kapa!

Kuna kipindi kikundi cha watu humu waliibuka wakawa wanadai jide aliwadhuruma pesa ambayo walikubaliana kufanya video shooting wimbo sijui ni huo nasimama kama sikosei, wakalalamika sijui waliingia gharama kukodi nguo nyeupe sijui na kukodi taksi wakaja na maneno kibao

Mimi nikawaambia nitawasaidia maana nafahamiana kidogo na watu waliokaribu na jide, kipindi kile choka alikuwa karibu na jide na jamaa mmoja ivi, basi nika capture screen ya hayo malalamiko nikamtumia huyo mpambe wa jide akasema atamtumia jide mwenyewe, baada ya muda akanijibu kuwa hakuna kitu kama hicho na hiyo video wanaodai walishoot ivi karibuni ilishafanyika mwaka mmoja kabla, so akadai ni njama tu za watu.

Baadae hao jamaa wakarudi na kusema wameshalipwa na jide pesa zao, baada ya kunishukuru mimi niliyewasaidia wakaanza matusi, wakadai mimi muongo, mpaka kesho sijui kama kweli walilipwa hiyo pesa au lah, maana sikutaka tena kuingilia

Sasa sijui huyu kishumundu leo kawashwa nini wakati kesi ilishaiga mda sana
 
Hivi walimu wa darasa la pili wa somo la mwandiko wanafanya kazi zao ipasavyo.
 
Na nanii?? Wapotezee ona sasa ushakula ban yaan hujawazoeaga watu wa jamii forum tu

Hii ban imezaliwa na thread hii au kuna nyingine?duh hii thread sijaielewa naona ban tena kweli JF kimuhemuhe.
 
Hii ban imezaliwa na thread hii au kuna nyingine?duh hii thread sijaielewa naona ban tena kweli JF kimuhemuhe.

Ban itakuwa imetokana na thread moja imefungwa....warumi alikuwa amehaidi anarudi na ushahidi wa jamaa mmoja bikra wanahemtuhumu ni bwabwa.
 
Ama kweli duniani kuna watu wazuri wa kubisha au kusemea jambo wasilokuwa na uhakika nalo sijui wamezoea sijui kutaka sifa sijui waonekane nao wajuzi wa mambo ya mujini wanajua wao.

WARUMI kama wewe ni muungwana pamoja na wenzako naomba muombe radhi mana kama miezi kadhERaa nyuma kulitokea izi wenye kichwa cha HABAI....GADNER ANAPOKULA PESA ZA WATU WA JIDE...IMEJIELEZA vizuri sana ulisimama kaka weye kama wewe bdo uliyedhuumu na tukakuelezeasaa maazi waliyokuwa wamevaa ni meupe a mwisho kuna mambo kama ya happybithdayukakazaa hapana ni wimbo wa HISTORIA ukabeba bango..

HAYA sasa wimbo ulishatoka wahusika wameoekana hasa mwishoni hata soni huna umeuchuna tu.
Next time dont INTERFERE.

una tatizo binafsi na Jide au warumi?
 
Back
Top Bottom