Wimbo wa Ney umeimbwa na malaika ni mtego kwa bunge na utawala!

Wimbo wa Ney umeimbwa na malaika ni mtego kwa bunge na utawala!

Mashairi haya yamepangiliwa sio na ney Bali kuna malaika alisimama nyuma ya Ney! Hakuna aliyeachwa humo ndani ! Ni

Nawambieni Tena huu wimbo kaandika malaika sio ney ! Ney yeye kauimba TU ! Maana hamchelewi, tunawaonya mapema!
Ney asubir matusi toka kwa uvccm!!
 
Yaani polisi wanaita watu kuwahoji kwa kutoa maoni na hisia zao...

Sasa nao BASATA wanaita watu kuwahoji juu ya maoni na hisia zao..

Hii hofu na woga wa viongozi wa serikali unatoka wapi?

Imeandikwa mahali kwenye Biblia kuwa;

"...wenye haki ni majasiri kama Simba lakini waovu hukimbia hata vivuli vyao..."

Hawa bila shaka dhambi zao zinawahukumu na kuwatesa kiasi cha kuanza kukimbia vivuli vyao wenyewe..!!
 
Alisaahau na mistari hii
####
Jf ya mchongo imetawaliwa na moderator wa ccm
Kazi kuunganisha uzi,kufuta kupiga ban kukosa Hamu
 
Mimi niusiliza kwa masaa 12 nikesha nao saiz .nimeuacha tu. Unaimba. Mimi nakupenda sana Rais wetu Samia. Naomba Serikali na Rais wamusamehe Nay wa mitego amekutuka Rais wetu.ila Tanzania lazima tujue Nay wa mitego ni Hazina ya Taifa.huyu ndio Mbunge wetu anatupekea mawazo yetu kwa Serikali. BASI Nay wa mitego aishi milele
 
Back
Top Bottom