Fallback
JF-Expert Member
- Aug 12, 2023
- 3,686
- 6,958
Pombe na wanawake kamuulize aslay tatizo sio kua tejaYupo tatizo ni lilelile amekuwa teja ukimuona hutomjua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pombe na wanawake kamuulize aslay tatizo sio kua tejaYupo tatizo ni lilelile amekuwa teja ukimuona hutomjua
ni pombe sanaYupo tatizo ni lilelile amekuwa teja ukimuona hutomjua
Plus kwao sio njaa ni mtoto wa kishua km alivyokua MikeTeeMnyaruni pombe sana
aUmri wako
achana na umri hili pini lipo mbele ya muda....bado la moto saana..Umri wako
Ndio hivyo baadhi ya wasanii wakali wasiokua na mafanikio mziki wanaudai Ila kurudi kwenye ramani ni ngumu sababu sasa wapo nyuma ya mudaNim
a
achana na umri hili pini lipo mbele ya muda....bado la moto saana..
Au kitu cha Niite Basi...Mshkaji mmoja🙌🏻🙌🏻🙌🏻Ndio hivyo baadhi ya wasanii wakali wasiokua na mafanikio mziki wanaudai Ila kurudi kwenye ramani ni ngumu sababu sasa wapo nyuma ya muda
Alafu mziki anaudai hata ningekua Mimi ningekua bwax mda huu yaan nimefanya kazi kubwa sana kuupaisha mziki alafu mziki haujanilipa vile nilivyotarajia unilipeAu kitu cha Niite Basi...Mshkaji mmoja🙌🏻🙌🏻🙌🏻
Aisee stress lazima hapoAlafu mziki anaudai hata ningekua Mimi ningekua bwax mda huu yaan nimefanya kazi kubwa sana kuupaisha mziki alafu mziki haujanilipa vile nilivyotarajia unilipe
Alipita kiunyama saana....Vp kwenye dhahabu ya Dully? Aisee jose noma sanaNilimnyooshea mkono kwenye verse aliyo iimba kwenye wimbo wa Abubakari Mzuri "samahani dada"
Jamaa alikuwa na hatari.
Kwa upande wangu naona Joselyn ndiye alie wafunika wote, alafu akafuatia Bayser.Alipita kiunyama saana....Vp kwenye dhahabu ya Dully? Aisee jose noma sana
Sahihi jose alikaa kwenye topic vyema sanaKwa upande wangu naona Joselyn ndiye alie wafunika wote, alafu akafuatia Bayser.