Wimbo wa Rayvanny "Tetema" waondolewa YouTube

Wimbo wa Rayvanny "Tetema" waondolewa YouTube

sinza pazuri

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2014
Posts
3,344
Reaction score
9,066
Wimbo wa msanii wa WCB Wasafi ambaye afanyi vizuri kwa sasa Rayvanny umeondolewa YouTube na producer wa wimbo huo S2kizzy.

NB: wasanii watambue muziki ni biashara waache kukosa shukrani pale inapofikia zamu yao nao kutoa kipato kwa muwekezaji. Utetezi wa kusema mimi ni mtoto nimekuwa nataka nikajitegemee huo ni upuuzi mtu na ndevu zako unajitia utoto ili usikunjue pesa wewe ni mtoto wa nani kwanza...

Tumefungua duka mimi nimewekeza na wewe umewekeza siku ukitaka duka liwe lako peke yako dawa ni kunifidia changu sio unalilia lia uko eti uonewe huruma.

1660112269831.png
 
Kwanini sasa umeondolewa wcb nao wana visa vya kishamba uswahili unaKua mwngi
Uswahili au ndo uzungu? Kaondoa Producer wa ngoma labda hawajaafikia kwenye maslah atalipwaje, Cos kaondoka basi ili Rayvany aimiliki mgoma ilitakiwa amlipe S2KZ chake na kama hawezi basi wakubaliane kila anapoingiza mkwanja kupitia hiyo ngoma ampe S2KZ gawio lake.
 
Uswahili au ndo uzungu? Kaondoa Producer wa ngoma labda hawajaafikia kwenye maslah atalipwaje, Cos kaondoka basi ili Rayvany aimiliki mgoma ilitakiwa amlipe S2KZ chake na kama hawezi basi wakubaliane kila anapoingiza mkwanja kupitia hiyo ngoma ampe S2KZ gawio lake.
Yes ni biashara iongee sio unataka kupiga hela ila wewe hutaki kutoa cha kwako. Alafu unatafuta huruma everywhere.
 
Kwani wakati Ray anafanya hyo ngoma si alikuwa ndani ya lebo ya wasafi?na wao ndo wanashughulikq na mambo yote iweje kuwe na makubaliano tofauti na esitukizi?
diamond uwa hapendi aje azidiwe.
Mikataba yenyewe ya akina chifu mangungo.na watoto wa watu walikuwa Wana saini kwa njaa zao tu
Uswahili au ndo uzungu? Kaondoa Producer wa ngoma labda hawajaafikia kwenye maslah atalipwaje, Cos kaondoka basi ili Rayvany aimiliki mgoma ilitakiwa amlipe S2KZ chake na kama hawezi basi wakubaliane kila anapoingiza mkwanja kupitia hiyo ngoma ampe S2KZ gawio lake.
 
Bila kiki hawezi uza muziki wake, atafute star wa kike ajiweke ndo wanachofanya mondi na harmonize yaani KILA siku awe midomoni Mwa watu, bila hivyo atapotea kama Rich mavoko
 
Back
Top Bottom