Hata kama unakuwa mkali, hiyo hoja humu jamvini imeshajadiliwa kwahiyo wewe unarudia kitu ambacho kimejadiliwa karibuni tu! Mada yenyewe ni hii hapa chini:Acha kupayuka wewe bedui toa hoja mbadala nilichokisema ndio ukweli from my point of view unataka wote tuwe wewe...relax
Wametumia tafsida za kutosha na huwezi kumpeleka popote kwamba eti ametukana! Na hiyo ndiyo raha ya lugha!! Kwa mfano, unaweza kusema "nimesimama kama ngongoti anamaanisha "amedinda" lakini yeye akakuambia amemaanisha amesimama imara kama askari! Je, utaweza ku-justify kwama kusimama kama ngongoti ni kudinda?!kwa vile ni mond watu wana kenua tu
lazima utakuwa team mondWametumia tafsida za kutosha na huwezi kumpeleka popote kwamba eti ametukana! Na hiyo ndiyo raha ya lugha!! Kwa mfano, unaweza kusema "nimesimama kama ngongoti anamaanisha "amedinda" lakini yeye akakuambia amemaanisha amesimama imara kama askari! Je, utaweza ku-justify kwama kusimama kama ngongoti ni kudinda?!
Labda kwa faida yako tu; watu hawafahamu ni kwanini Kenya tumewaacha mbali kwenye muziki wa kizazi kipya... Tanzania tuna uwezo mkubwa wa kucheza na Kiswahili kuliko Wakenya ambao kwenye Kiswahili hawapo wala kwenye Kiingereza hawapo!! Kucheza kwenye na lugha ndio huko...
Badala ya kujenga hoja unaanza kuweka speculations... my disrespect to such kind of arguments.lazima utakuwa team mond