Wimbo wa Seduce Me wa Ally Kiba ni "Copy & Paste"??

Last month nyimbo ina muda gani mtaani? Afu huyo mspaniola wenu wa Iringa anatuchekesha tu hapa, ungekuwa nyimbo ya wale mabingwa wa kukopy mngesema "mspaniola afanya covered nyimbo ya diamond" ila Kiba kakopy!!!! Aisee mna kaz sana
Hata Juzi ya 31st Aug ni last month, na ndio maana thread imeungwa hapo
 

Weka link ya huo wimbo
 
Ndiyo tunaweza haya. Kubishana kuhusu Kiba na Diamond.
 
Mkuu umesahau aje

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Atakuwa kaimba lavalava[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wimbo huu ndo amekopi na kupesti wa Ali Kiba. Kawakamate wajinga!
Ebu tuanzie hapa, kama wewe umeupata nasi titajie aliyeuimba nasi tuufuate ktk youtube au mtandaoni!
 
[emoji23][emoji23][emoji23] mbona hiyo "Hold on" ni ya kibongo, kwa hiyo hawa WACHAFU wameingia hadi studio kutengeneza figisu. Yaooooo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…