Waswahili Bwana, sasa wewe unachotaka nikitu gani, unacha kuwataja wanaokopy kila kitu kutoka naijeria (Diamond),,,, copy and pest inaweza kuwa na viwies 3m for 6days ? Acha wivu wa kike1) Sijasema Kiba kakosea
2) Ushahidi wa wimbo nimeweka
Ndo hivyo sasa tunakusaidia kwa kukwambia huo wimbo umetengenezwa hapo Wasafi Records na timu ya Diamond...Hivi umesoma mada na heading yake lakini??
Mimi sio timu yoyote, nimeuweka hapa ili mnisaidie, acha povu.
Wadau Kwema??
Kwa sasa Ally Kiba anatingisha na wimbo wake alioutoa hivi karibuni wa Seduce Me. Wimbo huo kwa sasa ni 'heat Song" kiasi kwamba popote unapopigwa basi watu wengi huonekana kuufurahia na kuusifia.
Sasa basi leo katika pitapita zangu huku na kule nikakutana na wimbo unaofanana na huo kuanzia "beats" mpaka "melody" yake, tofauti inakuja kwenye lugha ya Kiengereza iliyotumika pamoja na maana ya maneno yaliyotiumika labda.
Sijaelewa hasa kaimba nani huo wimbo, wala kati ya huyo muimbaji na Ally Kiba ni nani hasa alianza kuimba. Pengine mkiusikiliza wimbo huo mnaweza kuuelewa umeimbwa na nani na kuanzia hapo tutajua nani alianza kuuimba.
Ili search nini mpaka unapata huu mwimbo, najaribu kusikiliza maneno na ku Google, hauji.Hivi umesoma mada na heading yake lakini??
Mimi sio timu yoyote, nimeuweka hapa ili mnisaidie, acha povu.
It's a HIT SONG!!Wadau Kwema??
Kwa sasa Ally Kiba anatingisha na wimbo wake alioutoa hivi karibuni wa Seduce Me. Wimbo huo kwa sasa ni 'heat Song" kiasi kwamba popote unapopigwa basi watu wengi huonekana kuufurahia na kuusifia.
Sasa basi leo katika pitapita zangu huku na kule nikakutana na wimbo unaofanana na huo kuanzia "beats" mpaka "melody" yake, tofauti inakuja kwenye lugha ya Kiengereza iliyotumika pamoja na maana ya maneno yaliyotiumika labda.
Sijaelewa hasa kaimba nani huo wimbo, wala kati ya huyo muimbaji na Ally Kiba ni nani hasa alianza kuimba. Pengine mkiusikiliza wimbo huo mnaweza kuuelewa umeimbwa na nani na kuanzia hapo tutajua nani alianza kuuimba.
ukisikia tu rafudhi ya muimbaji unagundua ni mbongo kwaiyo kajipangeni upyaWadau Kwema??
Kwa sasa Ally Kiba anatingisha na wimbo wake alioutoa hivi karibuni wa Seduce Me. Wimbo huo kwa sasa ni 'heat Song" kiasi kwamba popote unapopigwa basi watu wengi huonekana kuufurahia na kuusifia.
Sasa basi leo katika pitapita zangu huku na kule nikakutana na wimbo unaofanana na huo kuanzia "beats" mpaka "melody" yake, tofauti inakuja kwenye lugha ya Kiengereza iliyotumika pamoja na maana ya maneno yaliyotiumika labda.
Sijaelewa hasa kaimba nani huo wimbo, wala kati ya huyo muimbaji na Ally Kiba ni nani hasa alianza kuimba. Pengine mkiusikiliza wimbo huo mnaweza kuuelewa umeimbwa na nani na kuanzia hapo tutajua nani alianza kuuimba.
Anaimba kiingereza anapronounce kimakonde!!!ukisikia tu rafudhi ya muimbaji unagundua ni mbongo kwaiyo kajipangeni upya
Wadau Kwema??
Kwa sasa Ally Kiba anatingisha na wimbo wake alioutoa hivi karibuni wa Seduce Me. Wimbo huo kwa sasa ni 'heat Song" kiasi kwamba popote unapopigwa basi watu wengi huonekana kuufurahia na kuusifia.
Sasa basi leo katika pitapita zangu huku na kule nikakutana na wimbo unaofanana na huo kuanzia "beats" mpaka "melody" yake, tofauti inakuja kwenye lugha ya Kiengereza iliyotumika pamoja na maana ya maneno yaliyotiumika labda.
Sijaelewa hasa kaimba nani huo wimbo, wala kati ya huyo muimbaji na Ally Kiba ni nani hasa alianza kuimba. Pengine mkiusikiliza wimbo huo mnaweza kuuelewa umeimbwa na nani na kuanzia hapo tutajua nani alianza kuuimba.
Wacha kunilisha maneno we mdada, pitia uzi mzima uniambie wapi nimesema kiba ka copy,Waswahili Bwana, sasa wewe unachotaka nikitu gani, unacha kuwataja wanaokopy kila kitu kutoka naijeria (Diamond),,,, copy and pest inaweza kuwa na viwies 3m for 6days ? Acha wivu wa kike
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama umeusikia you have to use your commonsense to identify which is copy and which is original, acha jutujazia topics kwa kuleta topic nyepesi kama hizi. Dont waste our time ....ungetuma kwenye magroup yako ya olevel ,advance or chuo wangekupajibuWacha kunilisha maneno we mdada, pitia uzi mzima uniambie wapi nimesema kiba ka copy,
pitia na heading kwa msaada zaidi,
mimi nauliza sababu sina uhakika, na nimeleta humu ili tujadili,
Elimu yako PleaseCopy ni copy haijalishi ukubwa wa msanii, huyo tembo wenu akili imeshachoka ameona bora akopi, hayo mambo ya kizamani, dunia ya sasa chochote unakipata kwa technologia.
Ndio ameshawabamba wajinga wajinga na wavivu wa kutafuta uhalisia.
Timu tembo mwambieni jamaa yenu arudi studio tena.
sweeper
Ivi mbona jambo likitokea kwa kiba mashabiki zake huwa lawama za kwanza kwa wasafi....hivi wcb wana njaa gani mpk wafanye huu upuuziMm siyo shabiki wa diamond ila kama ni wao wemetengeneza wamefeli sana na pia wataupa huu wimbo promo za kijinga sana na kama kucopy kiba siyo mjinga akopy kila kitu hivyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu unaweza kuniambia huu wimbo ni wa naniIvi mbona jambo likitokea kwa kiba mashabiki zake huwa lawama za kwanza kwa wasafi....hivi wcb wana njaa gani mpk wafanye huu upuuzi ifike kipindi akili ziwe zinatumika kuliko makalio.
Sent using Jamii Forums mobile app
Una ushahidi gani kuwa hicho kitu kimefanywa na wasafi ivi kwa nn majanga ya kiba mnawatupiaga wasafi kwa dhiki gani waliyonayo.....ivi unafikili hizi kampeni alizofanyiw kiba angekuwa kafanyiwa mond si tungesikia mengi sana kununua watu na vitu ka izo.Elimu ni nzuri sana ukiwa nayo ila ukiikosa angalau uwe na ufahamu lakini ukikosa vyote utafanya mambo pasipo kujua matokeo... WCB wamepewa pesa ila hawana elimu wala ufahamu nadhani kwa hiki ndo watashawishi wengi kuutizama na kuusikiliza huu wimbo mara nyingi zaidi