Wimbo wa Seduce Me wa Ally Kiba ni "Copy & Paste"??

Mwambie amuulize aliyemtumia.
Mkuu wangu vitu vya kufoward whatsapp si wajua vinavyokuwaga.
Fikiria tu mfano zile barua za Teuzi/Tenguzi anazotumaga Gerson Msigwa jinsi zinavyosambaaga.
Yaani waweza kukuta Kutoka kwa msigwa mpaka inakufikia ishafowadiwa hata mara 50 na zaidi hapo katikati.
 
Tuje kwenye accent ya huyo aliyeimba.
Mkuu wewe unahisi ni ya wapi?
 
Tuje kwenye accent ya huyo aliyeimba.
Mkuu wewe unahisi ni ya wapi?
Sielewi aisee Mkuu,
Hata maneno ya huu wimbo nikiya-search Lyrics zake kwenye mitandaoni siyapati yaani.
 
ya hapahapa bongo hii!! kubalini tuu Kiba kawakamata
 
Ukiona hadi Shazam imeshindwa kuutambua huu wimbo, jua made here here!!!
 
Mmh mwenzako anapiga pesa tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na wenye nyimbo wanadai wanaenda international tribunal wakipata order wanadaka Mali yoyote ya Mtanzania yoyote

 
Mimi ni Ni shabiki wa diamond lakini kwa ujinga huu wa kuleta link isiyo tupeleka kwenye wimbo/account ya aliye imba wimbo huo unao sema ali kakopi ni kujishushia hadhi.

ILA JAMBO MOJA LINANISHANGAZA KWANINI KIBA ASIKANUSHE HABARI HIZI YEYE MWENYEWE?
 
Mmeshindwa hata tafuta mzungu kweli ionekane kweli imecopiwa jamani hiyo rafudhi yaonekana kabisa huyo mtu kingereza lugha ya tano...

Yani kingereza lakink rafudhi ya chato kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiba hapelekeshwi na ujinga kama siyo jweli kuna haja gani ya kuanzia kukanusha? Ndicho mobeto alichomuuliza diamond kwamba kama unajua mtoto hakuhusu unahangaika nn kujisafisha?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…