Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Angekuwa mweupe ndiyo kamuimba mweusi labda, "Mchumba wake mtanzania, pua kama kitenesi." Tungepiga sana kelele. Huo ni ubaguzi mkuu.Non-sense unatujazia server
We ni mjapan???Kwenye wimbo huu kuna sehemu anasema, "Mchumba wake mfupi, Futi nne mjapan." Huu ni ubaguzi na kama matusi kwa wajapan. Haijakaa poa.
Sasa,ukiwa mfupi aseme weye ni mrefu?Halafu,Wajaponee wenyewe wanajijua ni wafupi na hawanuni.Kwenye wimbo huu kuna sehemu anasema, "Mchumba wake mfupi, Futi nne mjapan." Huu ni ubaguzi na kama matusi kwa wajapan. Haijakaa poa.
Ili watu warefuke miili na akili.Suluhisho Ni Katiba mpya
Kwenye wimbo huu kuna sehemu anasema, "Mchumba wake mfupi, Futi nne mjapan." Huu ni ubaguzi na kama matusi kwa wajapan. Haijakaa poa.
Wanatutaftia ban hao wajapani hatujapenda kabisa😅