Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hii nyimbo ya young d ft..Jux inaitwa siyo mchoyo...Mbona dizaini kama kamuimba shilole????
Wimbo mixing mbovu, quality mbaya. period !
Hivi huyu dogo jina lake halis hua anaitwa nani
Hivi huyu dogo jina lake halis hua anaitwa nani
David sijui nani, anajishauaga na yeye, anajikuta justin beiber, wakat analelewa na max
Huo wimbo si level za young d hausikiki kabisa wanaimba nini.
~young D nayemjua ni wa Dada Huyo anaolewa,Goma la utete,tunapeta ila huyu wa jux amesanda!
Hivi huyu dogo jina lake halis hua anaitwa nani
ni namba ya kademu kake kale ka mikocheni business nitakaulizia jina la huyu dogo halafu nitaku pm ili roho yako itulie
David anaitwa.
Mi nimeuliza jina hayo mengine ni yako
Unajua dogo toka atoe ngoma ya dada anaolewa na kukubalika sana ila bado hajajua tu nini watu wanataka, mule kuna full uswazi halafu ile nyimbo haichuji, sasa siku izi anajifanya na yeye justin beiber kama wimbo wake wa rockstar video, yan anajiona yupo kwa obama
nakusaidia upate jina kupitia hayo mengine
Ok....poa
Nikuunganishe nae?
ni namba ya kademu kake kale ka mikocheni business nitakaulizia jina la huyu dogo halafu nitaku pm ili roho yako itulie
David sijui nani, anajishauaga na yeye, anajikuta justin beiber, wakat analelewa na max