Wimbo wa Young D (Siyo mchoyo ), mbona kama kamuimba Shilole

Wimbo wa Young D (Siyo mchoyo ), mbona kama kamuimba Shilole

Wimbo mixing mbovu, quality mbaya. period !
 
Huo wimbo si level za young d hausikiki kabisa wanaimba nini.

~young D nayemjua ni wa Dada Huyo anaolewa,Goma la utete,tunapeta ila huyu wa jux amesanda!
 
Huo wimbo si level za young d hausikiki kabisa wanaimba nini.

~young D nayemjua ni wa Dada Huyo anaolewa,Goma la utete,tunapeta ila huyu wa jux amesanda!

Unajua dogo toka atoe ngoma ya dada anaolewa na kukubalika sana ila bado hajajua tu nini watu wanataka, mule kuna full uswazi halafu ile nyimbo haichuji, sasa siku izi anajifanya na yeye justin beiber kama wimbo wake wa rockstar video, yan anajiona yupo kwa obama
 
Unajua dogo toka atoe ngoma ya dada anaolewa na kukubalika sana ila bado hajajua tu nini watu wanataka, mule kuna full uswazi halafu ile nyimbo haichuji, sasa siku izi anajifanya na yeye justin beiber kama wimbo wake wa rockstar video, yan anajiona yupo kwa obama

Ila dogo wa ukweli anahamasisha anawazidi wote hao wanaojifanyaga mahandsome
 
Back
Top Bottom