warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,218
- 18,440
Mi nimeuliza jina hayo mengine ni yako
Ahahaha kweli binamu kiboko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi nimeuliza jina hayo mengine ni yako
Ila dogo wa ukweli anahamasisha anawazidi wote hao wanaojifanyaga mahandsome
Binamu hapa sijakuelewa vizuri.Analelewa na max yupi?
Unajua dogo toka atoe ngoma ya dada anaolewa na kukubalika sana ila bado hajajua tu nini watu wanataka, mule kuna full uswazi halafu ile nyimbo haichuji, sasa siku izi anajifanya na yeye justin beiber kama wimbo wake wa rockstar video, yan anajiona yupo kwa obama
Binamu hapa sijakuelewa vizuri.Analelewa na max yupi?
Hapana siimbi mziki
Manager wake anaitwa max
Dogo kalewa misifa labda shishi alimbemenda mpaka IQ imeshuka ya dogo!
Ahahaha kweli binamu kiboko
Alishaondoka kwa Max.
Eti jina tu kuulizia maelezo kibao mtoto yule nimpeleke wapi shilole ndo zake
Labda kaondoka jana mkuu
Labda kaondoka jana mkuu
Bora angekuwa na mchuzi kama clement ningekuruhus, mtu mwenyew kabwela hana mbel wala nyuma
Labda kaondoka jana mkuu
Wakubwa mmetoka Nje ya mada kwa Sisi tuliozoea jibu insha..ila inaweza kua kweli kamwambia shilole ..ps bado yupo kwa max MBD Aka million dollar boy sijui wanajiita
Hhhhaaaaaaa
Nyunga haiongopi.
Aisee hizi story za dogo ni nyoka(mla unga) ni confirmed?