Pumzi JF-Expert Member Joined Dec 5, 2013 Posts 321 Reaction score 55 Sep 19, 2014 Thread starter #41 cmoney said: Wakubwa mmetoka Nje ya mada kwa Sisi tuliozoea jibu insha..ila inaweza kua kweli kamwambia shilole ..ps bado yupo kwa max MBD Aka million dollar boy sijui wanajiita Click to expand... wametoka kabisa nje ya mada hii
cmoney said: Wakubwa mmetoka Nje ya mada kwa Sisi tuliozoea jibu insha..ila inaweza kua kweli kamwambia shilole ..ps bado yupo kwa max MBD Aka million dollar boy sijui wanajiita Click to expand... wametoka kabisa nje ya mada hii
Vitaimana JF-Expert Member Joined Nov 2, 2013 Posts 3,535 Reaction score 1,562 Sep 19, 2014 #42 Super Handsome said: Kwanini shilole na si wema ama snura?? Click to expand... Hao watatu ndio kina mama huruma nini?
Super Handsome said: Kwanini shilole na si wema ama snura?? Click to expand... Hao watatu ndio kina mama huruma nini?
miss strong JF-Expert Member Joined Jul 4, 2012 Posts 7,012 Reaction score 3,700 Sep 19, 2014 #43 Huyu dogo namuonaga mitaa ya hom....ingawa yeye anaishi chini kule nahisi karibia na diwani wetu mzee Kipeta.Sijajua nyumba gani lakini
Huyu dogo namuonaga mitaa ya hom....ingawa yeye anaishi chini kule nahisi karibia na diwani wetu mzee Kipeta.Sijajua nyumba gani lakini
Who Cares? JF-Expert Member Joined Jul 11, 2008 Posts 3,507 Reaction score 3,371 Sep 19, 2014 #44 miss strong said: Huyu dogo namuonaga mitaa ya hom....ingawa yeye anaishi chini kule nahisi karibia na diwani wetu mzee Kipeta.Sijajua nyumba gani lakini Click to expand... okk...kesho ukimwona muulize alimuimba nan kwenye wimbo waje huo. aseme tujue ukweli......
miss strong said: Huyu dogo namuonaga mitaa ya hom....ingawa yeye anaishi chini kule nahisi karibia na diwani wetu mzee Kipeta.Sijajua nyumba gani lakini Click to expand... okk...kesho ukimwona muulize alimuimba nan kwenye wimbo waje huo. aseme tujue ukweli......
Mtumishi wa Bwana89 JF-Expert Member Joined Jul 23, 2018 Posts 3,191 Reaction score 4,220 Jul 8, 2024 #45 Siku hizi young Dee yuko wapi