Wimbo wa Zali la mentali wa Proffesor Jay uliwapa vijana matumaini sana

Wimbo wa Zali la mentali wa Proffesor Jay uliwapa vijana matumaini sana

masai dada

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2013
Posts
16,207
Reaction score
14,343
Kipindi kile ule wimbo watu walizani ni rahisi sana kuwa na mpenzi ukiwa fukara sana.

Hivi inawezekana eeeh
tia mistari kidogo


.......na alitoa elfu 10 na alikua anataka dafu

oooh no keep chenji una mawazo nitakufariji weekend


INAWEZEKANA KWELI?
 
Kipindi kile ule wimbo watu walizani ni rahisi sana kuwa na mpenzi ukiwa fukara sana...Hivi inawezekana eeeh
tia mistari kidogo


.......na alitoa elfu 10 na alikua anataka dafu

oooh no keep chenji una mawazo nitakufariji weekend


INAWEZEKANA KWELI???

Nilipokea hela alichotaka, akakipokea tabasamu zito akanitolea....


Kumbe masai mjini umekuja mdaa eeh
 
Nilipokea hela alichotaka, akakipokea tabasamu zito akanitolea....


Kumbe masai mjini umekuja mdaa eeh

..nawanza nitakula nini mentali kisha naguna
naanza kujikongoja kichwa chini mikono nyuma
 
... oh naitwa Jay ukiniita fukara haukosei na nnaishi kwa nguvu za macho siku zenyewe hazisogei...
 
Kumbe kuna gari ilikuja na kupak karibu yangu,
Sikuweza kusikia hon labda sababu ya njaa yangu
 
Inawezekana sanaa! Ila sio by chance ni through hardwork! Inabidi uwe player haswaaa! Ukiplay by the rules mbona unazifumania sanaaa nyavu!
 
Jay is all that and a bag of chips, but Gangwe Mobb beat him to it with "Mtoto Wa Geti Kali".

It sounded like Jay just jacked the idea and put out his own version.
 
Jay is all that and a bag of chips, but Gangwe Mobb beat him to it with "Mtoto Wa Geti Kali".

It sounded like Jay just jacked the idea and put out his own version.

Ooh no keep chenchi una mawazo mengi
nitakufariji weekend
 
Inawezekana sanaa! Ila sio by chance ni through hardwork! Inabidi uwe player haswaaa! Ukiplay by the rules mbona unazifumania sanaaa nyavu!

now days MAZALI MACHACHE SANA labda vibibi vizungu
 
Nilisema ishara, hiyo sababu fukala nisije nkakubaka nitupwe sero kafala
 
Back
Top Bottom