masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 16,207
- 14,343
- Thread starter
-
- #101
uwenda
....promota anabip naamua kumpigia bila aibu anajisifu...
NIAMBIE MAPROMOTA WALIMUARIBIA VIP
ingia kwenye jukwaa unalotataka kuposti uzi wako utakuta maelekezo.. kama unatumia jf application login kisha ingia kwenye jukwaa unalotaka kuposti halafu bonyeza menu yake kisha utakuta new topic au kama unatumia wapsite ukifika kwenye jukwaa juu kabisa utaona new topic
una roho nzuri
mi nimemwambia alipe kwanza ada
naufaham huo
na ndivyo sivyo kaimba na josee???kamilioni
walisepa kwenye show bila malipo na wengine walitumia jina lake katika promo zao bila yeye kuwepo kwenye show
asipolipa tunasusia nyuzi zake
jay ana nafasi nzuri sana ya kupiga ela still
angetengeneza documentary moja akaweka hit zake zote akapiga show za kutosha alafu akaendeleza hustle..
album hii niliinunua ila ni tape inajulikana kama J.O.S.E.P.H
hahahahajah
nimemwambie aje pm nimpe nammba ya mchango
ingia kwenye jukwaa unalotataka kuposti uzi wako utakuta maelekezo.. kama unatumia jf application login kisha ingia kwenye jukwaa unalotaka kuposti halafu bonyeza menu yake kisha utakuta new topic au kama unatumia wapsite ukifika kwenye jukwaa juu kabisa utaona new topic
jay ana nafasi nzuri sana ya kupiga ela still
angetengeneza documentary moja akaweka hit zake zote akapiga show za kutosha alafu akaendeleza hustle..
Yaani siku hizi hata nikilala naweza kutunga nyimbo ikawa heat song
bahati mbaya mziki umepishana na pesa
r.i.p muziki wetu
Afanye hivyo ili maana ni wengi tnahitaji nimbo zake.
nadhani kuna watu wanamjua watampa huu ujumbe
yaap apate na management yani hapa hapa bongo atauza sana.. nyimbo zake hazichuji mfano zali la mentali ina karibu miaka 13 kwenye game na bado production yake ipo poa.. pongezi kwa majani
Good masai dada leo umeleta topic ambayo imegusa music wa ukweli, hope Jay anapitaga hapa atasoma na kututendea haki mashabiki wake.