Victor Mlaki
JF-Expert Member
- May 1, 2016
- 4,151
- 4,277
- Thread starter
- #21
Leo mwendo ni Lulembela tunaimba wimbo uleule na Mgombea wa Ubunge wilaya ya Mbogwe Ndugu Nicodemas H.Maganga.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daaaah kamata pepsi max hapo ulipoZuchu nilijua ni sabuni ya kufulia kumbe ni Jina la mtu
Kiukweli sipendelei mambo ya siasa ila nilisikia kwa bahati mbaya mtu mmoja anausikiliza huo wimbo aisee kama usingekuwa na maudhui ya kisiasa kwa melody ile lingekuwa bonge la wimbo......Zuchu anajitahidi sana kufanya vitu vizuriMiongoni mwa nyimbo za kampeni zitakazovuka mpaka ni wimbo wa Zuchu wenye kiitikio.." Jua lile literemke Mama"..wapinzani watetereke sana".Una mahadhi nzuri ya reggae, mahadhi inayochezeka na watu wote na rika zote. Hata kama hutaki kucheza unaweza kutingisha bega tu.
Geita hapa muda huu ni jua lile literemke Mama, Mchakamchaka hadi raha.