Wimbo wa Zuchu utakuwa wimbo bora sana wa kampeni kipindi hiki

Wimbo wa Zuchu utakuwa wimbo bora sana wa kampeni kipindi hiki

Leo mwendo ni Lulembela tunaimba wimbo uleule na Mgombea wa Ubunge wilaya ya Mbogwe Ndugu Nicodemas H.Maganga.
 
Miongoni mwa nyimbo za kampeni zitakazovuka mpaka ni wimbo wa Zuchu wenye kiitikio.." Jua lile literemke Mama"..wapinzani watetereke sana".Una mahadhi nzuri ya reggae, mahadhi inayochezeka na watu wote na rika zote. Hata kama hutaki kucheza unaweza kutingisha bega tu.

Geita hapa muda huu ni jua lile literemke Mama, Mchakamchaka hadi raha.
Kiukweli sipendelei mambo ya siasa ila nilisikia kwa bahati mbaya mtu mmoja anausikiliza huo wimbo aisee kama usingekuwa na maudhui ya kisiasa kwa melody ile lingekuwa bonge la wimbo......Zuchu anajitahidi sana kufanya vitu vizuri
 
Back
Top Bottom