Mali yangu _hili goma ataly Sana ..
Kama ni makosa kupendelea moyo wangu kukuchagua,,
Hayo yote usiumize roho yako,
Pia ujumlishe na Yale Yale yale mapenz matam ya kama halua ya Allah Mali yangu yaliwa,,
Mapenzi matamu ya wawili mashallah,
Walopendana kwenye hii dunia kama adama na Hawa,,
Ila Ally mi nisijali nivumilie ntazoea,
Kwa kuniadhibu kunisaliti si hatary,,
Kidonda changu Cha moyo ni maradhii,
Zinukie isia zangu kwako Kama waridii,,
Kwa jinsi ulivyontesa staki urudi ii,
Ye molela Ali naumia,,
Ataly Sana Hilo goma,Ali kibavu alifanya mabalaa umo mungu anamuona