Wimbo wako pendwa kutoka kwa Alikiba ni upi?!

Me kwenye hiyo album kuna dude nalikubali linaitwa BHOKE dah! Hiyo ngoma hatari sana! Mwamba kaimba sana humo
 
Weeee usiniambie
 
Mali yangu _hili goma ataly Sana ..
Kama ni makosa kupendelea moyo wangu kukuchagua,,
Hayo yote usiumize roho yako,
Pia ujumlishe na Yale Yale yale mapenz matam ya kama halua ya Allah Mali yangu yaliwa,,

Mapenzi matamu ya wawili mashallah,
Walopendana kwenye hii dunia kama adama na Hawa,,
Ila Ally mi nisijali nivumilie ntazoea,
Kwa kuniadhibu kunisaliti si hatary,,
Kidonda changu Cha moyo ni maradhii,
Zinukie isia zangu kwako Kama waridii,,
Kwa jinsi ulivyontesa staki urudi ii,
Ye molela Ali naumia,,

Ataly Sana Hilo goma,Ali kibavu alifanya mabalaa umo mungu anamuona
 
Bibi Ritta kampoteza sana huyo dogo, alinogewa na umarioo akasahau kazi sasa baada ya kuona new comers wanasifiwa sana akasanuka akaacha umarioo akarudi kwenye game na kukuta fame ya Domo iko juu sana, tokea hapo mpaka sasa anatimuliwa vumbi tu.
Mbaya hata fans wake wamehamia kwa Chinga boy na kuzidi kumpoteza kwenye ramani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…