miss charming
JF-Expert Member
- Dec 3, 2016
- 910
- 905
Yaani nyie team domo kama mmechanganyikiwa yaani hapa anaongelewa youngkiller nyie mnaingiza habari za zilipendwa.. Mmerogwa nyieWale team kupumliwa huwa hawaishiwi sababu.Wakati wanapitwa viewers na zilipendwa wakaanza hooo wananunua...sasa wamevunjwa migongo na rekodi kukanyagwa chini sasa wanasema hoooo wananunua.Hivi mtu anatafuta pesa iweje atoe pesa tena...Nyie MABABU WA KARIAKOO vepee
[HASHTAG]#NiacheKidogo[/HASHTAG]
Sent from my A500s using JamiiForums mobile app