Wilhelm Johnny
JF-Expert Member
- Jan 13, 2016
- 1,368
- 1,325
Wakuu naomba kujuzwa kati ya window 7 na 10 ipi ni nzuri kwa ufundi simu upande wa software ninazo box na sio crack
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tembea na window 10 mkuu ni nzuri pia ipo updates lakini window 7 ishagafungiwa haipokei updates tena .Wakuu naomba kujuzwa kati ya window 7 na 10 ipi ni nzuri kwa ufundi simu upande wa software ninazo box na sio crack
SawaTembea na window 10 mkuu ni nzuri pia ipo updates lakini window 7 ishagafungiwa haipokei updates tena .
Mimi natumia Ufi boxWeka zote na linux Distro moja, mambo ya mediatek na baadhi ya soc za vichochoroni driver zao sio signed zinasumbua Win 10, unless una ujuzi wa kucheza nayo ku enable unsigned drivers.
Nimecheki online imekuwa developed kutumika kwenye windows 7 64bit, windows 10 utatumia pia, ila hivi vitu haviaminiki mkuu, bora dual boot.Mimi natumia Ufi boxView attachment 2411863
Sawa mkuu tatizo la window 7 nikipig kwa pc kuna vitu vinagoma ku run kama idm na baadhi ya software afu pc ninayo moja tunimecheki online imekuwa developed kutumika kwenye windows 7 64bit, windows 10 utatumia pia, ila hivi vitu haviaminiki mkuu, bora dual boot.
Ni desktop? kama desktop weka hdd tofauti kila hdd piga windows yake, kama laptop waweza fanya partition ukaweka kila sehemu os yake, sio lazima uwe na machine mbili.Sawa mkuu tatizo la window 7 nikipig kwa pc kuna vitu vinagoma ku run kama idm na baadhi ya software afu pc ninayo moja tu
Mimi nina box kabisaTumia Windows 7, usiweke Antivirus, ubaya wa Windows 10 ina Windows Security, kama una box cracked zitakuwa detected na Windows Security kama virus (false positive) na itakupa usumbufu kuzirejesha.
Pia Windows 7 inakubali drivers nyingi hata ambazo ni za kabla ya 2010. Hizi kwenye windows 10 zitashindwa kuendana na mahitaji ya windows 10 katika kurun programs na kuziinstall. Na kusababisha compatibility issues. (Baadhi ya drivers hazipokeagi updates kwa muda mrefu).
Kama unalo tumia windows 10, mzee.Mimi nina box kabisa
Hata nikiweka driver napata usumbufu natumia Lenovo core i5 torrent pia haifanyi kazi ukifungua idm crack inagoma vlc pia inagomani desktop? kama desktop weka hdd tofauti kila hdd piga windows yake, kama laptop waweza fanya partition ukaweka kila sehemu os yake, sio lazima uwe na machine mbili.
idm kwanini ikatae windows 7? issue ya hizi windows za zamani drivers mpaka uweke mwenyewe, tofauti na win 10 unatafuniwa kila kitu kipo.
SawaKama unalo tumia windows 10, mzee.
Box kwako wewe ni halali, ila kwa macho ya Microsoft si halali mkuu, unafikiri kuchakachua simu nchi nyingine unaruhusiwa?Mimi nina box kabisa
Nilikuwa sijajua mkuu, mimi najua ukiwa na boksi ndio uhalalibox kwako wewe ni halali, ila kwa macho ya Microsoft si halali mkuu, unafkiri kuchakachua simu nchi nyengine unaruhusiwa?
Zote hizo zinafanya kazi win 7 mkuu, driver ulitoa wapi? Chukua website ya lenovo ama niwekee model hapa nikupe link ya drivers zako zote.Ata nikiweka driver napata usumbufu natumia Lenovo core i5 torrent pia haifanyi kazi ukifungua idm crack inagoma vlc pia inagoma
Now nipo nyumbani kesho nikirudi ofisini nitakupa ukifungua inaandika zile 0x0000zote hizo zinafanya kazi win 7 mkuu, driver ulitoa wapi? chukua website ya lenovo ama niwekee model hapa nikupe link ya drivers zako zote.
Hivi chief mkwawa box pia si naweza chakachua na zile simu za mikopo za D-lightzote hizo zinafanya kazi win 7 mkuu, driver ulitoa wapi? chukua website ya lenovo ama niwekee model hapa nikupe link ya drivers zako zote.
Sina uhakika labda kama unajua jina la box tuchekiHivi chief mkwawa box pia si naweza chakachua na zile simu za mikopo za D-light
Na hilo swala window 7 kusumbua limeanza sasa nimeshatumia Aina kadhaa za window 7 lakini mambo ni ngumuzote hizo zinafanya kazi win 7 mkuu, driver ulitoa wapi? chukua website ya lenovo ama niwekee model hapa nikupe link ya drivers zako zote.