Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 31,559
- 42,179
Kwanini usiongeze hio ram? Specs nyengine zipoje?Naona wataalamu mko vizuri, Kuna wataalamu wengine wanashauri matumizi ya window 10 kwa 2GB Ram sio sawa, Ila kwa window 7 Ni sahihi. Hili nalo limekaaje wadau. Maana PC yangu Ni 2GB Ram au naweza kuiboost zaidi