Winga Kramo, Winga Onana, Kumi Triple C Al Ahly lazima ayatimbe

Winga Kramo, Winga Onana, Kumi Triple C Al Ahly lazima ayatimbe

Ayoub anaanza, kuliko Kapombe, kushoto Tshabalala, Inonga na Che Malone, viungo ni Sadio Kanoute na Ngoma, kulia na kushoto ni Onana na Kramo, katikati pale nawaweka Chama na Saido Ntibanzokiza.

Mapemaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa naiona Semi final
Kuna watu mnamoya bado kabisa mnajiaminisha kuna ushindi kwa simba kweli kabisa.?
 
Hapo kwa Kramo umedanganya
 
Kibu denis hawezi kaa nje hata kwa fimbo za uchi
 
Ayoub anaanza, kuliko Kapombe, kushoto Tshabalala, Inonga na Che Malone, viungo ni Sadio Kanoute na Ngoma, kulia na kushoto ni Onana na Kramo, katikati pale nawaweka Chama na Saido Ntibanzokiza.

Mapemaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa naiona Semi final
Mimi nashauri baada ya Kramo kutupia goli za kutosha siku hiyo, basi tuubadili jina ule uwanja wa Bunju uitwe Kramo Arena! Badala ya Mo Arena.
 
Ayoub anaanza, kuliko Kapombe, kushoto Tshabalala, Inonga na Che Malone, viungo ni Sadio Kanoute na Ngoma, kulia na kushoto ni Onana na Kramo, katikati pale nawaweka Chama na Saido Ntibanzokiza.

Mapemaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa naiona Semi final
Nakubaliana na wewe mjumbeeee.
 
Back
Top Bottom