Tozonia
JF-Expert Member
- Jun 18, 2013
- 689
- 734
Karibu sana boss, napia karibu ofisini Kwa ushauri (consultancy)ngoja nichukue namba.usije ukanipiga tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karibu sana boss, napia karibu ofisini Kwa ushauri (consultancy)ngoja nichukue namba.usije ukanipiga tu.
Karıb sana boss, napia karibu ofisini Kwa ushauri zaidi (consultancy).. text au piga tukuhudumie Kwa WhatsAppngoja nichukue namba.usije ukanipiga tu.
Ushauri mzuri sana budaa, nimeuchukua bila kupinga.Hii idea imenyooka
Kwa maoni :
Gharama za website hapo ndo naona kidogo zinasoma kilomita , 100K inatosha kufugua website
Watu 20 au 10 Kila mmoja angechangia ya kuanzia 20K pamoja na kulipia mabango/ads then baada ya mwezi kama mwanga utaoneka ndo vibunda viongezwe kuchukua Ofisi
Ni mtazamo tu
Hii idea imenyooka
Kwa maoni :
Gharama za website hapo ndo naona kidogo zinasoma kilomita , 100K inatosha kufugua website
Watu 20 au 10 Kila mmoja angechangia ya kuanzia 20K pamoja na kulipia mabango/ads then baada ya mwezi kama mwanga utaoneka ndo vibunda viongezwe kuchukua Ofisi
Ni mtazamo tu
Hii idea imenyooka
Kwa maoni :
Gharama za website hapo ndo naona kidogo zinasoma kilomita , 100K inatosha kufugua website
Watu 20 au 10 Kila mmoja angechangia ya kuanzia 20K pamoja na kulipia mabango/ads then baada ya mwezi kama mwanga utaoneka ndo vibunda viongezwe kuchukua Ofisi
Ni mtazamo tu
Wazo zuri ila swala la TRA , and bla bla .... ziwe za mwisho wakati tumesha settle kuna mtu ataniuliza bila ofisi itakuwaje .... remember ni online businessLabda nitoa mchanganuo kwanini kila winga 100k?
Winga 20 ni sawa 2M.
Hapa nililenga :
1. BUSINESS NAME REGISTRATION
2. Lesen
3. TRA
4. Ofisi(kukodi fremu [emoji419])
5. Development(Hapa panakula pesa ndefu sana).
100k kwa website iwe labda blog na inaweza isitoshe cause wordpress theme pekeyake ni $59. Hosting & Domain kwa mwaka ni 250k hii ni basic plan.
Kwa mfumo ambao tunataka tu develop utatumia sana video clip na sio picha ili ku motivate buyers for that reason hosting lazima iwe gharama kwasababu ya video. Unaweza anza na hosting ya $5/8 kwa mwezi.
Just a summary budaa. Na hii sijakaa chini kupiga hesabu kwa uwalisia inaweza 2m isitoshe ambayo wewe unaiona bwaku. Bado sijaweka budget ya marketing kwenye social media [emoji26]. Uku sijaweka budget yake kozi I know how to boost free using facebook sponsor ads.
Ni hayo tu nilitaka ujue usije ukaniona mpigaji.
"I'm not a demons or anything. I'm just doing my job".
Website kama hii itakuwa na traffic zaidi ya JF, kwa hiyo investment yake sio ya kitoto. Kwa hiyo gharama za website na uendeshaji unahitaji mchakato wa kina.Hii idea imenyooka
Kwa maoni :
Gharama za website hapo ndo naona kidogo zinasoma kilomita , 100K inatosha kufugua website
Watu 20 au 10 Kila mmoja angechangia ya kuanzia 20K pamoja na kulipia mabango/ads then baada ya mwezi kama mwanga utaoneka ndo vibunda viongezwe kuchukua Ofisi
Ni mtazamo tu
Ishu ni kwamba makampuni ya simu hayawezi fanya kazi na individuals ambaye hana leseni wala TIN na brela certificate. Niliwai kufanya kazi na tigo i know budaa.Wazo zuri ila swala la TRA , and bla bla .... ziwe za mwisho wakati tumesha settle kuna mtu ataniuliza bila ofisi itakuwaje .... remember ni online business
5m bro. Security na speed muhimu. Content development muhimu zaidi. Marketing, multilingual nature na continuous innovationLabda nitoa mchanganuo kwanini kila winga 100k?
Winga 20 ni sawa 2M.
Hapa nililenga :
1. BUSINESS NAME REGISTRATION
2. Lesen
3. TRA
4. Ofisi(kukodi fremu [emoji419])
5. Development(Hapa panakula pesa ndefu sana).
100k kwa website iwe labda blog na inaweza isitoshe cause wordpress theme pekeyake ni $59. Hosting & Domain kwa mwaka ni 250k hii ni basic plan.
Kwa mfumo ambao tunataka tu develop utatumia sana video clip na sio picha ili ku motivate buyers for that reason hosting lazima iwe gharama kwasababu ya video. Unaweza anza na hosting ya $5/8 kwa mwezi.
Just a summary budaa. Na hii sijakaa chini kupiga hesabu kwa uwalisia inaweza 2m isitoshe ambayo wewe unaiona bwaku. Bado sijaweka budget ya marketing kwenye social media [emoji26]. Uku sijaweka budget yake kozi I know how to boost free using facebook sponsor ads.
Ni hayo tu nilitaka ujue usije ukaniona mpigaji.
"I'm not a demons or anything. I'm just doing my job".
Tutatumia API ambayo inainvolve simu na benki zote nchini. Push STK, malipo ndani ndaniIshu ni kwamba makampuni ya simu hayawezi fanya kazi na individuals ambaye hana leseni wala TIN na brela certificate. Niliwai kufanya kazi na tigo i know budaa.
Kinyume na hayo mfumo utakuwa manually kitu ambacho kitaboa wateja ambao wamelipia pesa usiku ukiwa umelala wakati wao wanasubili activation ya muamala aweze kupata namba ya chimbo.
Hapa patakuwa bagumu sana budda. Kufikiria TRA sio kama nimependa lakini lazima tupite uko ili maisha ya watumiaj yawe mapesi.
Labda kama una API ya mitandao ya simu umetengeneza unaweza kwepa hizo procedure above. [emoji3071]
"I'm not a demons or anything. I'm just doing my jobs".
Kweli budaa.Website kama hii itakuwa na traffic zaidi ya JF, kwa hiyo investment yake sio ya kitoto. Kwa hiyo gharama za website na uendeshaji unahitaji mchakato wa kina.
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Nikili kusema wewe ni mtaalam unaelewa vyema haya mambo. Nahitaji watu kama wewe tufanye vitu vinavyonekana .5m bro. Security na speed muhimu. Content development muhimu zaidi. Marketing, multilingual nature na continuous innovation
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Muilize Maxcence gharama anayotumia kutuweka humu.Nikili kusema wewe ni mtaalam unaelewa vyema haya mambo. Nahitaji watu kama wewe tufanye vitu vinavyonekana .
Nimependa maono yako budaa.
Nikili kusema wewe ni mtaalam unaelewa vyema haya mambo. Nahitaji watu kama wewe tufanya vitu vinavyonekana .5m bro. Security na speed muhimu. Content development muhimu zaidi. Marketing, multilingual nature na continuous innovation
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
PUSH 🔥🔥🔥. Hii njia ni nzuri sana na ni rahisi kutumia kwa wateja wa level yoyote ya elimu. Hii njia inatumia kwenye app ya SARAFU. Easy way to make payment.Tutatumia API ambayo inainvolve simu na benki zote nchini. Push STK, malipo ndani ndani
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Karibu kwa Lewis MVincent upate huduma zifuatazo kila siku:
📌Nakununulia,nakufungia na kukusafirishia bidhaa kutoka kariakoo kwenda mitaa yote ndani ya Dar es salaam na mikoa yote Tanzania.Huduma hii unaipata kwa tsh 10000/= tu.
📌Nakutafutia bidhaa pamoja na bei zake za jumla na reja reja ndani ya soko la kariakoo.Huduma hii unaipata kwa tsh 2000/= tu.
📌Nakutafutia basi au lori zuri pamoja na gharama zao kwaajili ya kusafirisha bidhaa zako kutoka kariakoo kwenda mikoa yote Tanzania kwa uharaka na usalama zaidi.Huduma hii unaipata kwa tsh 5000/= tu.
AGIZA BIDHAA KAMA:
-Simu aina zote
-vifaa vya simu aina zote mfano: chaji,covers,protectors.
-Vifaa vyote vya kieletronic kama TV,SABUFA,SPEAKER,FRIJI,HEATER nk
-Vyombo vya ndani aina zote
-Nguo za kiume za watu wazima aina zote
-Nguo za kike za watu wazima aina zote
-Nguo za watoto aina zote
-Nguo za ndani aina zote mfano chupi,sidiria,boksa nk
-Urembo aina zote kama heleni,bangiri,kacha,saa nk
-Vipodozi na mawigi
-Vifaa vya stationary aina zote.
-Vifaa vya ushonaji aina zote kama cherehani,vitambaa,vitenge,sindano,nyuzi nk
-Material ya furniture aina zote.
-Vijora
-Mitumba aina zote
-CD na Movies kwa wale ote wenye library
-Hardware na Vifaa aina zote vya ujenzi.
-Spea za pikipiki na bajaji
-Baiskeli aina zote
-Betri na matairi aina zote
-Mashine za bekari
-Vifaa na material ya keki aina zote.
-Mapazia na mashuka aina zote.
-Mabegi,pochi na mikoba aina zote
-Viatu aina zote
-Na bidhaa zinginezo ambazo sijataja hapa.
MAWASILIANO: 0745645035 (PIGA/SMS/WHATSAPP).
KARIBU SANA KWA HUDUMA BORA NA ZA UHAKIKA KILA SIKU MASAA 24.
UAMINIFU NI MTAJI,OKOA MUDA NA GHARAMA ZA NAULI KWA KUNIAGIZA MIMI BIDHAA AINA ZOTE KUTOKA KARIAKOO KWENDA MITAA YOTE NDANI YA DAR ES SALAAM NA MIKOA YOTE TANZANIA KILA SIKU.
Haya mtoa mada chukua kitabu hicho chini hapo kina machimbo karibu yote👇👇👇