Winga wa Kariakoo pitia hapa kuna mchongo pesa!

Mawazo ya kitapeli na mtu mvivu na ambaye ni limbukeni wa biashara. Kama unataka pesa kirahisi namna hiyo usifikirie kutangaza machimbo.Ingia kazini na jitume.
Hakuna faida yoyote kujikushanya kikundi kikubwa kutafuta na kuuza machimbo ,mwishowe mtakuwa mashoga nyote.
Kwanza nakwambia Kariakoo si kubwa kiasi hicho cha kulazimikia kuwalipa watu wapuuzi kama nyinyi ili akakuoneshe chimbo.Ukisema Kariakoo ni jina la soko la kimataifa lakini itakuwa unakusudia Kariakoo yenyewe,Gerezani na sasa upande wa Jangwani.Kinachohitajika ni subira tu kwa mfanyabiashara yoyote yule haichukui muda atafika eneo la kila bidhaa anayoitaka.
 
Unawajua mawinga? Tofauti ya winga na dalali ni ipi? Acha ushamba mama
 
The same price per chimbo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…