Kama lowassa!!!!!
Hiki ndicho kilichotokea
Mungu amjaalie Diamond afike mbali kama Michael Jackson RIP
kinoma noma yaani!!duh mondi katisha...
Naquote kutoka Vanessa:Kila kitu majaliwa kupata amebalikiwaga..so njia ishakuwaga nyeupe kwake toka underground then upcoming nw superstaaa..?!Mungu amjaalie Diamond afike mbali kama Michael Jackson RIP
Binafsi sijawahi kusikia inshu hii ya website-kupotea kisa wingi wa kura anazopigiwa msanii, Kitendo hichi kimetokea Leo baada ya website ya NEA AWARDS kupotea hewani kutokana na wingi wa kura anazopigiwa Diamond Platnumz, Hii inaonyesha nguvu kubwa sana aliyonayo Diamond Platnumz hapa Tanzania na Afrika kwa ujumla.
Mtandao wa NEA umewataka radhi wote kwa kitendo hiki.
Naquote kutoka Vanessa:Kila kitu majaliwa kupata amebalikiwaga..so njia ishakuwaga nyeupe kwake toka underground then upcoming nw superstaaa..?!
Za urais