Wingi wa matangazo ya kugonga mihuri ya Mawakili Ofisi ya Uhamiaji Kurasini

Wingi wa matangazo ya kugonga mihuri ya Mawakili Ofisi ya Uhamiaji Kurasini

Jaji Mfawidhi

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2016
Posts
15,835
Reaction score
23,776
Naomba mniweke sawa juu ya hali nliyoona pale uhamiaji Kurasini.

Kila kibanda cha photocopy kuna maandishi huduma za kisheria na mhuri wa wakili zinapatikana hapa.

Inadhalilisha taaluma yetu kabisa na pia vishoka wanabakia humo kwa kutunzwa na hao mawakili wenye mihuri yao humo stationeries.

Anzia jirani pale kanisani pale covenant ni mfululizo wa vioski vya mhuri wa wakili katika matangazo!

Hivi kule hakuna chapter leaders waongoze hio vita na kupaweka sawa pale ili kulinda taaluma yetu adhimu. Naomba uongozi wa juu tls uingilie kati kama chapter husika imeshindwa kazi
 
Shida yako ni matangazo au uhalali?
Ukiwa na njaa huwezi kulinda taaluma.
Hawa wanamaliza chuo kila mwaka wale wapi?

Acheni wenzenu waishi wanasaidia sana.

Ingekuwa sio halaki uhamiaji wasingeidhinisha pasi za kusafiria
 
Zamani mawakili walikuwa wanaoweka ka bango kadoogo kuonyesha ofisi zao zilipo ila siku hizi duu bonge la bango
 
Ofisi nyingine za serikali hasa TAMISEMI kwenye mambo ya ardhi wanapokea muhuri wa hakimu tu, maana wanasheria wengi ni njaa tu.
 
Naomba mniweke sawa juu ya hali nliyoona pale uhamiaji Kurasini.

Kila kibanda cha photocopy kuna maandishi huduma za kisheria na mhuri wa wakili zinapatikana hapa.

Inadhalilisha taaluma yetu kabisa na pia vishoka wanabakia humo kwa kutunzwa na hao mawakili wenye mihuri yao humo stationeries.

Anzia jirani pale kanisani pale covenant ni mfululizo wa vioski vya mhuri wa wakili katika matangazo!

Hivi kule hakuna chapter leaders waongoze hio vita na kupaweka sawa pale ili kulinda taaluma yetu adhimu. Naomba uongozi wa juu tls uingilie kati kama chapter husika imeshindwa kazi
Maokoto mjomba. Acha makasiriko. Sana Sana unajidhalilisha wewe mwenyewe mtoa mada Kwa kufuatilia nishu za watu.

NB: njoo nje ya ofisi TRA Mwenge uone tunavyogombea wateja. Soon tutaweka wapiga Debe kama stendi
 
Zamani mawakili walikuwa wanaoweka ka bango kadoogo kuonyesha ofisi zao zilipo ila siku hizi duu bonge la bango
Unaumia nn mtu akiweka bango. Hizo ndio zinalipa bills acha shobo
 
Naomba mniweke sawa juu ya hali nliyoona pale uhamiaji Kurasini.

Kila kibanda cha photocopy kuna maandishi huduma za kisheria na mhuri wa wakili zinapatikana hapa.

Inadhalilisha taaluma yetu kabisa na pia vishoka wanabakia humo kwa kutunzwa na hao mawakili wenye mihuri yao humo stationeries.

Anzia jirani pale kanisani pale covenant ni mfululizo wa vioski vya mhuri wa wakili katika matangazo!

Hivi kule hakuna chapter leaders waongoze hio vita na kupaweka sawa pale ili kulinda taaluma yetu adhimu. Naomba uongozi wa juu tls uingilie kati kama chapter husika imeshindwa kazi
Na wewe pia kishoka au wakili? Maana nilishangaa ulipoandika thread kwa herufi kubwa.
 
Daima WANASHERIA wanasimamia vitu KISHERIA .

Hapo umeona nn kilicho cha UHALIFU? fungua kesi ushindane na wenzako ni mbaya sana MWANASHERIA kuwa mtu wa UCHOCHEZI wenye viashiria vya WIVU.
 
Naomba mniweke sawa juu ya hali nliyoona pale uhamiaji Kurasini.

Kila kibanda cha photocopy kuna maandishi huduma za kisheria na mhuri wa wakili zinapatikana hapa.

Inadhalilisha taaluma yetu kabisa na pia vishoka wanabakia humo kwa kutunzwa na hao mawakili wenye mihuri yao humo stationeries.

Anzia jirani pale kanisani pale covenant ni mfululizo wa vioski vya mhuri wa wakili katika matangazo!

Hivi kule hakuna chapter leaders waongoze hio vita na kupaweka sawa pale ili kulinda taaluma yetu adhimu. Naomba uongozi wa juu tls uingilie kati kama chapter husika imeshindwa kazi
Kishoka atoke wapi wakati mihuri mipya yote ina bar code?

Kwahiyo unaona Advocate ni mtu Maalum Sana kuliko taaluma nyingine?
 
Naomba mniweke sawa juu ya hali nliyoona pale uhamiaji Kurasini.

Kila kibanda cha photocopy kuna maandishi huduma za kisheria na mhuri wa wakili zinapatikana hapa.

Inadhalilisha taaluma yetu kabisa na pia vishoka wanabakia humo kwa kutunzwa na hao mawakili wenye mihuri yao humo stationeries.

Anzia jirani pale kanisani pale covenant ni mfululizo wa vioski vya mhuri wa wakili katika matangazo!

Hivi kule hakuna chapter leaders waongoze hio vita na kupaweka sawa pale ili kulinda taaluma yetu adhimu. Naomba uongozi wa juu tls uingilie kati kama chapter husika imeshindwa kazi
Kama hujitangazi watu watajuaje huduma uzitoazo?
 
Back
Top Bottom