WEWE ni nani kwenye kesi ya Mbowe?We unahisi wale mashahidi wa uongo walikuwa upande Baraba au Yesu?
Halafu angalia hao mashahidi wote wanatokea upande gani?
Yaani Polisi watuhumu, polisi wakamate, polisi waandae mashtaka polisi waishtaki halafu polisi hao hao ndo mashahidi. Bado umefumba akili yako tu?
Cheza na vyote lakini usicheze na neno la Mungu. Mungu sio mwanadamu.
Usiogope neno la Mungu bali muogope Mungu mwenyewe na yupo na ajua Mbowe ni GaidiWe unahisi wale mashahidi wa uongo walikuwa upande Baraba au Yesu?
Halafu angalia hao mashahidi wote wanatokea upande gani?
Yaani Polisi watuhumu, polisi wakamate, polisi waandae mashtaka polisi waishtaki halafu polisi hao hao ndo mashahidi. Bado umefumba akili yako tu?
Cheza na vyote lakini usicheze na neno la Mungu. Mungu sio mwanadamu.
Natamani nikuulize na weww hilo swali ila sasa hunijui na sikujui. So ni kupotezeana muda tu.WEWE ni nani kwenye kesi ya Mbowe?
Sawa mtumishi wa munguUsiogope neno la Mungu bali muogope Mungu mwenyewe na yupo na ajua Mbowe ni Gaidi
Yaani ni upuuzi mtupuWe unahisi wale mashahidi wa uongo walikuwa upande Baraba au Yesu?
Halafu angalia hao mashahidi wote wanatokea upande gani?
Yaani Polisi watuhumu, polisi wakamate, polisi waandae mashtaka polisi waishtaki halafu polisi hao hao ndo mashahidi. Bado umefumba akili yako tu?
Cheza na vyote lakini usicheze na neno la Mungu. Mungu sio mwanadamu.
Usiogope neno la Mungu bali muogope Mungu mwenyewe na yupo na ajua Mbowe ni GaidiWe unahisi wale mashahidi wa uongo walikuwa upande Baraba au Yesu?
Halafu angalia hao mashahidi wote wanatokea upande gani?
Yaani Polisi watuhumu, polisi wakamate, polisi waandae mashtaka polisi waishtaki halafu polisi hao hao ndo mashahidi. Bado umefumba akili yako tu?
Cheza na vyote lakini usicheze na neno la Mungu. Mungu sio mwanadamu.
Mimi nitakujibu- mie siyoNatamani nikuulize na weww hilo swali ila sasa hunijui na sikujui. So ni kupotezeana muda tu.
Kama sio mbea unaweza kuwa kiherehereUsiogope neno la Mungu bali muogope Mungu mwenyewe na yupo na ajua Mbowe ni Gaidi
Mimi nitakujibu- mie siyo
- jaji
- polisi
- wanasheria wa serikali
- shahidi
- wakili wa utetezi
- Mmbeya Prof Jay
- mshitakiwa
- magereza
- mripoti mwenendo wa kesi
Mkuu, kwa niaba ya wala kababu wenzangu tunapinga kauli yako, huyu jamaa ana wehu wake mwenyewe😂Hahahahahaaaaaaaa!
Akili zinazotokana na ulaji mwingi wa kababu bwana!!!!!
Hahahahaaa!Mkuu, kwa niaba ya wala kababu wenzangu tunapinga kauli yako, huyu jamaa ana wehu wake mwenyewe😂